cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,512
- 137,140
Mapenzi mengine ni ujinga tu,mapenzi na mpira ni umbumbumbu na ulevi mbaya sana
Mapenzi mengine ni ujinga tu,mapenzi na mpira ni umbumbumbu na ulevi mbaya sana
Miaka ya 1960s ushabiki wa mpira haukuwa na nguvu sana ndio maana ata uhuru ulipatikana kwa urahisi maana watu wengi walijihusisha na tatizo moja tu...mkoloni.
Leo hii mtu ana arsenal kichwani,simba,yanga nk.ukimuambia katiba mpya inatakiwa hakuelewi...tumerudi nyuma saana
Ukiwa kiongozi kwenye taifa lenye changamoto lukuki then vijana wenyewe mawazo yao ndio kama haya yaani utaongoza kwa raha sana yaani!!Kama sasa hivi Simba tunachangamoto ya number 10, Bwalya bado haja adapt vizuri na Kibu Denis ana papara tungepata mtu dizaini ya Chama au tukizidi kumuamini Sakho tunaweza kufika mbali.
Kiufupi Mwl Pablo aelewe timu yake vizuri na kutuletea defensive midfielder mkata umeme mzuri wa kusaidiana na Mkude. Tutakua wa moto sana katika ligi na mashindano ya Kimataifa
Nakweli anashambuliwa siyo kitoto ila naye kazingua!Mods tunaomba mumlinde mtoa mada .
Kwani sera ya vijana kitaifa inasemaje mkuu?sera ya vijana kitaifa inasemaje
Njia ya kukimbia kiainaa..ila huna unachokijua...yawezkna ndo nyie nyie wamiliki remote kweny nyumba za waume wa dada zenuUelewi mambo mepesi hv!?wengine wameelewa wakusaidie
Akili kisoda hiiNjia ya kukimbia kiainaa..ila huna unachokijua...yawezkna ndo nyie nyie wamiliki remote kweny nyumba za waume wa dada zenu
Jiwe ndiye alileta hii shida, acha kurukaruka kama headless chickenMsipende kumsingizia kila kitu Magufuli. Why mpaka leo mnaishi kwa kivuli chake wakati mtu ameshajifia zake. Watu wameacha kujadili siasa baada ya kuona ni ulaghai mtupu.
Unakuta mwanasiasa wa upinzani anaipinga Serikali kila siku, lakini akipewa nafasi yeye hata ya ubunge tu, hakuna lolote analolifanya zaidi ya kujineemesha yeye na familia yake. Wengine tumewaona wamepata nafasi za kisiasa wanaweka ndugu na mahawara wao huku wananchi wakiendelea na shida zao. Ndo maana watu wameona ni bora wajadili vitu vinavyowapa furaha kama mpira kwasabbu wanasiasa siyo wakweli bali ni wachumia tumbo tu.
Wewe ambaye hupendi mpira umefanya nini?Hayo maendeleo kwenye soka yamejenga vyuo vikuu vingapi?