logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
- Thread starter
- #21
Hamna namna,Hiyo SASA ni dharau, sidhani kma hii habari ni ya ukweli, Kama kweli ni hivyo WASIJE , kuliko kucheza na kikosi chao cha pili Bora tucheze na prisons kudadadek, hatutaki dharau....
Klabu kubwa zipo bize... Alikeni KMKM