This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Kuna mtu alisema Nguruwe usipomjua kwa sauti basi harufu itakujulisha huyu ni Nguruwe.Mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba binafsi toka huyu jamaa awe nje ya uwanja pengo lake linaoneka na hata baada ya kusajili Thadey Lwanga. Namshauri kocha wangu wa simba amrejeshe dimbani shujaa wetu jonas mwana mkude.
Naomba kuwasilisha