Luvanga1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,025
- 1,701
Ndio Mkuu wa Kamati ya Usajilihaende ndo nini mkuu??
Ndio Mkuu wa Kamati ya Usajilihaende ndo nini mkuu??
Umeskaut nani na nani?Mkuu mimi ni skauti wa mpira. Macho yangu hayajawahi kufeli!
Andika vizuri,acha kuthibitisha kauli ya Rage kuwa wengi wenu ni mbumbumbuSasa si haende Yanga..
40+ cheti cha kuzaliwa,cha mpira 25+, sasa jiulize Maximo alikuwepo mwaka gani TzHajafika mkuu. 30+
Wewe umeongea wengine si watu wa mpira halafu wanabisha bila hoja. Jamaa currently ana kiwango kuliko hata Bocco ambaye anamiss chansi za waziwazi. Halafu ni mtu matured.Katika washambuliaji ninaowakubali Mwaikimba ni mmoja wapo.
Ana shabaha ya goli
Anaihakika wa kufunga
Ana nguvu
Ana kila sifa ya mshambuliaji.
Tatizo hakujiamini tu pale alipokuwa ktk kiwango cha juu.
Alistahili kucheza ulaya kabisa kama angejiamini.
Hakika nina mmisi Mwaikimba.
Kama kuja Simba na aje tu hata kwa mkataba wa miezi Sita.
Na atafunga sana.
Ni kweli, wengine ni washabiki wa mchezo wa mpira na hawafanyi tathmini ya mchezo na wachezaji.Wewe umeongea wengine si watu wa mpira halafu wanabisha bila hoja. Jamaa currently ana kiwango kuliko hata Bocco ambaye anamiss chansi za waziwazi. Halafu ni mtu matured.
Kajifunze kiswahiliSasa si haende Yanga..
Msajili akuchezee wew
BOMA FC , Daraja la Kwanza anakimbiza mbayaaa!Sasa hivi yupo timu gani?