Simba kuwa mabingwa wa champions league Afrika

Simba akiwa bingwa nitaamini uchawi Upo na kuanzia siku hiyo nitakuwa muumini Mkuu Wa uchawi na ulozi.


Kuanzia siku hiyo nitatembea kwa miguu kutokea chalinze mpaka Kariakoo makao makuu ya wana msimbazi kuwaomba samahani wanasimba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom