Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,275
- 17,978
Mnyama yupo hatarini kupokwa point kwenye mchezo wake na Ndanda baada ya kuwachezesha wachezaji wa kigeni wasio na vibali vya kufanya kazi nchini
Wanaweza kuwa na ITC na kupewa leseni na TFF lakini kibali cha kufanya kazi kinachotolewa na idara ya Uhamiaji ni kitu kingine
Tusubiri mtanange huo. Hats maelezo ya Kaburu yamejikita kwenye leseni. Bila kibali cha kufanya, leseni haitoshi
Wanaweza kuwa na ITC na kupewa leseni na TFF lakini kibali cha kufanya kazi kinachotolewa na idara ya Uhamiaji ni kitu kingine
Tusubiri mtanange huo. Hats maelezo ya Kaburu yamejikita kwenye leseni. Bila kibali cha kufanya, leseni haitoshi