Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,493
- 12,153
Baada ya ushindi wa leo wa goli 1 bila mbele ya Polisi TZ, na kufikisha pointi 70 , ni wazi kuwa Simba Sc wanahitaji point 6 tu yaani ushindi wa mechi 2 ili wawe mabingwa wa msimu huu VPL 2020/2021.
Kwani Young Africans Sc wana point 64 na mechi 4 mkononi maana yake kama wakishinda hizo watafikisha point 76 , ila moja ya mechi zao ni dhidi ya watani wao Simba Sc
Hivyo basi nadhani unaelewa kwanini mwashabiki wa Yanga sasa hawataki kata kata kucheza na Simba Sc hiyo Julai 3 maana walishapiga Hesabu na kuona balaa hilo
Kwani Young Africans Sc wana point 64 na mechi 4 mkononi maana yake kama wakishinda hizo watafikisha point 76 , ila moja ya mechi zao ni dhidi ya watani wao Simba Sc
Hivyo basi nadhani unaelewa kwanini mwashabiki wa Yanga sasa hawataki kata kata kucheza na Simba Sc hiyo Julai 3 maana walishapiga Hesabu na kuona balaa hilo