Simba Jersey Challenge: Utopolo njooni na huku mchukue sampuli

nzagambadume

JF-Expert Member
Apr 9, 2018
2,430
5,769
dah ila msomali Analiwa hela kizembe sana watu wanachukua samples zilizotumwa kwenye #simba jersey challenge tena wamechukua ile sample mbovu wanaitembeza mtandaoni, unajua haikuwaga siri ziliztumwa nyingi sana hizi ni baadhi nendeni m kaprint kabisa na hizi msambaze mtandaoni ILA MSIWE NA HARAKA WATOTO WA LITTLE JUMAMOSI MAMBO HADHARANI

3.jpeg
4.jpeg
1.jpeg
5.jpeg
2.jpeg
 
Hawa wajinga wanachukua samples za wakati washindani walipokuwa wanapeleka mawazo yao (concepts), basi wanakimbilia kuanzisha nyuzi humu eti zimevuja. Nyani huzaliwa na nyani, vinginevyo wazo la IGP Sirro lingesaidia sana
 
Hawa wajinga wanachukua samples za wakati washindani walipokuwa wanapeleka mawazo yao (concepts), basi wanakimbilia kuanzisha nyuzi humu eti zimevuja. Nyani huzaliwa na nyani, vinginevyo wazo la IGP Sirro lingesaidia sana
Kwahiyo ile nembo ya vunja Bei shingoni ni ni uongo hadi Ally Kamwe amepost ?aisee kama wamevujisha basi vunja bei katukosea sana
 
Hawa wajinga wanachukua samples za wakati washindani walipokuwa wanapeleka mawazo yao (concepts), basi wanakimbilia kuanzisha nyuzi humu eti zimevuja. Nyani huzaliwa na nyani, vinginevyo wazo la IGP Sirro lingesaidia sana
Mama J F.C wanachojua ni kunyonya dushe tu, Mambo ya jezi na wao wapi na wapi? Ndomana wakatengenezewa jezi za vibwengo na wao wakakubali.
 
Hawa wajinga wanachukua samples za wakati washindani walipokuwa wanapeleka mawazo yao (concepts), basi wanakimbilia kuanzisha nyuzi humu eti zimevuja. Nyani huzaliwa na nyani, vinginevyo wazo la IGP Sirro lingesaidia sana
Mama J F.C wanachojua ni kunyonya dushe tu, Mambo ya jezi na wao wapi na wapi? Ndomana wakatengenezewa jezi za vibwengo na wao wakakubali.
Sio ndio wananchi wale ama?
Na wasio Wananchi pale kwenye jezi utawajuaje?
 
Mama J F.C wanachojua ni kunyonya dushe tu, Mambo ya jezi na wao wapi na wapi? Ndomana wakatengenezewa jezi za vibwengo na wao wakakubali.

Na wasio Wananchi pale kwenye jezi utawajuaje?
Ile si ni representation tu?
 
Back
Top Bottom