Simba imeshinda mchezo lakini Yanga tulikuwa bora zaidi yao

Ayo Mambo ya kucheza robo fainali Mara mbili mfululizo Yanga ilisha fanya enzi hizo misimu ya 1969 na 1970 mnacho fanya Simba ni marudio izo zaligi ya ndani Yanga Alisha beba miaka mitano mfululizo kutoka 1968- 1972 Simba katika soka la nchi hii Hana maajabu dhidi ya Yanga.
Ulikwepo hiyo miaka? Sawa mlikuwa Bora miaka hiyo Sasa kwann hutak kukubali kuwa Simba ni Bora kwa wakati huu?

Basi tufanye yanga ni Bora zaidi ya Simba ,vipi umeridhika hapo
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
IMG-20210726-WA0045.jpg
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio
 
Utopolo wanjidanganya *****.
1.Nidhamu yenu ya mchezo ni mbov kinoma
2 litimu bado halijaunganika vizuri alafu mnafoc kucheza kwa speed na kukamia matokeo yake pira lenu linakuwa la kihuni 2.
3. Kisingizio cha kadi ni ushamba tu. Sisi tumeshawahi kuwapiga nyinyi mech 5 tukiwa pungufu
4. Kama unahisi nyinyi ni bora kwakuwa mlifungwa gol Moja na simba. Vp kuhusu prison ambaye simba Alipata draw ya 1-1 aliyakuwa prison Alipata red card?
Kama ndo hvyo prison Naye si angekuwa mbali.
Kubalini ukweli kwamba timu lenu la kilevi tu.
 
Maneno ya mkosaji hamkosi la kujitetea nyie mashabiki wa Uto
kama ninyi ni bora basi mnge beba ligi kuu
kama ninyi ni bora mngebeba pia ilo kombe la Azam Confederatio Cup
 
Nyinyi ni bora kwenye vurugu tu, mlitaka kutuharibia shughuli lkn balaa likawakuta
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Sema nini.... Lwanga aliingiza kichwa kwa nguvu sna ndio maana mkaumia na hamkubali ukweli.
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Huu ndiyo ubora? Nendeni mkashitaki CAS ili Simba wanyang'anywe lile kombe
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Sasa ubora wenu ulikuwa kwenye nini kitakwimu?Mmewazidi Simba kwa idadi ya kadi Nyekundu?ndio ubora wenu?
 
Back
Top Bottom