Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Kwa hiyo yanga anataka pointi tatu ili awe bingwa? Na simba akikosa pointi tatu hawi bingwa?

Yote kwa yote Simba atakuwa bingwa.

Yanga wamefuata sheria katika mechi ya Simba tu, mbona za kati yao na Biashara na timu gani sijui muda uliahirishwa na Yanga alitii.
Wapenzi wa Yanga watambue uongozi unatafuta visababu tu kwa ujumla msimu huu hawakua vizuri kabisa na hawastahili ubingwa na hata nafasi ya pili ni bahati tu.

Imebadilisha kocha mara tatu , imelalamika weee too much, pale hamna mpira ni uhuni uhuni tu uwongo na upigaji wa pesa.
Come back na Mwadui na offside goals?

Kwakeli wapenzi na wanachama wa Yanga wawe serious wasi fuate maneno wadai timu ya mpira sio uongo uongo na ubabaishaji.
Timu ina wachezaji kama watatu tu bora wengine wote peleka ligi ya Somalia.
 
Kwanza kabisa kanuni inasema muda wa kubadilisha muda wa kuanza.mchezo atleast ile masaa 24, na body ya ligi ilibadilisha muda kutoka saa 11 jioni mpaka saa moja nje ya wakati yaani saa nane mchana ndiyo wakabadilisha mechi, inamaana masaa 3 tu na kanuni inasema...
Hiyo sentesi ya mwisho una authority?

Kuhusu kanuni ya kubadilisha muda wa mchezo, kanuni ina exception ya emergence,(nenda kaisome yote, usiishie njiani) ambapo kukiwa na emergency hata kama imebaki dk moja mchezo unaweza sogezwa mbele au ratiba kubadilishwa. Una uhakika asilimia ngapi serikali itashindwa kudhibitisha kua kulikua na emergency?

Kuhusu serikali kuingilia michezo haipo hivyo unavyofikilia. Kuna baadhi ya mambo na baadhi ya sababu zinaweza fanya serikali ikaingilia. Kwa mfano, kipindi cha corona ni nani alitoa tamko ligi isimame???
 
Hiyo sentesi ya mwisho una authority?

Kuhusu kanuni ya kubadilisha muda wa mchezo, kanuni ina exception ya emergence,(nenda kaisome yote, usiishie njiani) ambapo kukiwa na emergency hata kama imebaki dk moja mchezo unaweza sogezwa mbele au ratiba kubadilishwa. Una uhakika asilimia ngapi serikali itashindwa kudhibitisha kua kulikua na emergency...
Sasa mbona Yanga hawajaadhibiwa kupitia kifungu hicho cha emergency? Tatizo nini?

Hali ya korona inajulikana duniani kote. Serikali kusimamisha ligi kipindi korona ni kwa sababu ya kulinda afya za raia sio kuingilia masuala ya michezo.
 
Kwanza kabisa kanuni inasema muda wa kubadilisha muda wa kuanza.mchezo atleast ile masaa 24, na body ya ligi ilibadilisha muda kutoka saa 11 jioni mpaka saa moja nje ya wakati yaani saa nane mchana ndiyo wakabadilisha mechi, inamaana masaa 3 tu na kanuni inasema.kiwangu kifupi ni masaa 24...Sawa!.

Simba haikwepo uwanjani kwa mda wa awali ,Je Yanga walionana na makamishna na marefa wa huo mchezo uwanjani?je sheria inasemaje timu kukimbia uwanjani bila kuwepo kwa makamishna na marefa wa huo mchezo?
 
Ndio maana yake mkuu. Ili ushindi uwe VALID lazima mshindi acheze mechi zote; vinginevyo huo ushindi utakuwa BATILI. Kama TFF watarogwa wakatoa kombe kwa Simba (hata kama watakuwa na pointi nyingi), Yanga watawashikisha adabu ambayo hawatakuja kuisahau hapa duniani.
Hapana endapo mpinzani mmoja hatotokea uwanja ni kinyume na taratibu basi huyo mwenye pointi nyingi kuliko timu zote atapewa ubingwa wake. Kasheshe inakuja ktk mazingira kama hayo ya Yanga. Hapo labda tff wapige manyanga yao kuonyesha yanga hawajaleta timu uwanjani kinyume na kanuni, na hayo manyanga washinde lasivyo yanawageukia!
 
Ndio maana yake mkuu. Ili ushindi uwe VALID lazima mshindi acheze mechi zote; vinginevyo huo ushindi utakuwa BATILI. Kama TFF watarogwa wakatoa kombe kwa Simba (hata kama watakuwa na pointi nyingi), Yanga watawashikisha adabu ambayo hawatakuja kuisahau hapa duniani.
Haiko hivyo mkuu, ingekua hivyo timu zingekua zinakosesha ubingwa timu nyingine kwa makusudi.

Timu ukishindwa kutokea uwanjani ile game itachukuliwa kama imechezwa na timu iliyotokea uwanjani itapewa points tatu na magoli kadhaa kama kanuni inavyosema.

Kwa Mfano yanga asipotekea uwanjani tarehe 3/7 simba atapewa points tatu na magoli na hiyo game itahesabika imechezwa na kwenye msimamo itaoneshwa game imechezwa.

Na kama yanga hawataridhishwa na maamuzi hayo wanaweza kwenda FIFA kudai points tatu za mchezo wa tarehe nane.

Sioni kama kutakua na kupinga ubingwa wa simba kwa sababu hiyo usemayo ya kucheza mechi 37.
 
Haiko hivyo mkuu, ingekua hivyo timu zingekua zinakosesha ubingwa timu nyingine kwa makusudi.

Timu ukishindwa kutokea uwanjani ile game itachukuliwa kama imechezwa na timu iliyotokea uwanjani itapewa points tatu na magoli kadhaa kama kanuni inavyosema.

Kwa Mfano yanga asipotekea uwanjani tarehe 3/7 simba atapewa points tatu na magoli na hiyo game itahesabika imechezwa na kwenye msimamo itaoneshwa game imechezwa.

Na kama yanga hawataridhishwa na maamuzi hayo wanaweza kwenda FIFA kudai points tatu za mchezo wa tarehe nane.

Sioni kama kutakua na kupinga ubingwa wa simba kwa sababu hiyo usemayo ya kucheza mechi 37.
Hapa ndipo Yanga watakapowashikia TFF pu.mbu. Ikiwa mechi iliyopita Yanga alikuwa na makosa ya kutopeleka timu mbona hakuadhibiwa? Hapa TFF tayari wameishajichanganya. Yanga wakiwakazia, hawana pa kuchomokea mkuu.

Yanga hawakutokea uwanjani kwenye mechi iliyopita; wao (Yanga) wanahesabu tayari mechi imeishachezwa. Bahati mbaya TFF hawajawapa Simba points 3 mpaka leo.....na endapo watawapa Simba points 3 kwa mechi iliyopita, Yanga wataenda mahakamani kwa kuwa muda ambao points hizo zilipaswa kutolewa tayari umeishapita. Aidha, ikiwa Simba watapewa points 3 kwa mechi ya tarehe 3/7 (hiyo mechi ni batili......mechi halali ilikuwa ile iliyopita ambayo Yanga hawakupeleka timu kiwanjani), watakiona cha mtema kuni.

Hakuna namna TFF wanaweza kuwapa simba magoli na points kwa mechi zote mbili kwani wakifanya hivyo watakuwa wamevunja katiba na kanuni za TFF. Muda wa kutoa magoli, points na adhabu (kwa Yanga) umeishapita. TFF wamelikoroga, lazima walinywe. Ngoma inogile!!!
 
Hapana endapo mpinzani mmoja hatotokea uwanja ni kinyume na taratibu basi huyo mwenye pointi nyingi kuliko timu zote atapewa ubingwa wake. Kasheshe inakuja ktk mazingira kama hayo ya Yanga. Hapo labda tff wapige manyanga yao kuonyesha yanga hawajaleta timu uwanjani kinyume na kanuni, na hayo manyanga washinde lasivyo yanawageukia!
Mkuu hebu saoma maoni niliyomjibu Kapyangi hapo juu☝️. Yanafanana na hii hoja yako
 
Nimeishia kusoma uliposema uongozi wa Yanga umekataa katakata kupeleka timu uwanjani. Wewe umekurupuka
Tusubiri tuone kama watapeleka timu hiyo tarehe 3/7 mkuu; najua Yanga wanatumia vizuri umbumbumbu wa TFF kufanya sarakasi hizi. Ndio maana hadi leo hawajaadhibiwa kwa kutopeleka timu kiwanjani.
 
Tusubiri tuone kama watapeleka timu hiyo tarehe 3/7 mkuu; najua Yanga wanatumia vizuri umbumbumbu wa TFF kufanya sarakasi hizi. Ndio maana hadi leo hawajaadhibiwa kwa kutopeleka timu kiwanjani.
Achana na stori za vijiweni. Yanga umefafanua zaidi ya mara 2 utapeleka timu uwanjani. Mwanzo alipotoa tamko Bumbuli kesho yako Yanga wakamkana,juzi pia Yanga waliwakana wazee waliosema hawaendi uwanjani. Sasa hizo stori za Yanga kutopeleka timu unazitoa wapi?

Halafu unachosema ni vitu vya kufikirika,ingekuwa rahisi hivyo si timu nyingi tu zingekuwa zinahujumu wengine kwa kutokufika uwanjani. Kanuni zipo wazi,kinachotumika ni busara tu. Wajidanganye wasilete timu
 
IMG-20210622-WA0007.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom