Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Yanga tunaendelea kupambana kuja chukua Ubingwa wa Ligi Kuu. Simba leo inapoteza na mechi zijazo itapoteza mpaka mwisho.
Yanga tunapindua Meza.. tumekuja kuwaonesha maajabu. Simba hachukui Ubingwa.
Tanzania Prisons. Waweke ndani hao jamaa hapo uwanjani. Na wasitoke hata kwa dhamana. Sisi tupo pamoja nanyi bega kwa bega.
Yanga sasa ndo tumewasha moto.nadhani mshaona matokeo ya jana. Tutaendelea kuwachabanga wote watakaojaribu kusimama mbele yetu.
Yanga tunapindua Meza.. tumekuja kuwaonesha maajabu. Simba hachukui Ubingwa.
Tanzania Prisons. Waweke ndani hao jamaa hapo uwanjani. Na wasitoke hata kwa dhamana. Sisi tupo pamoja nanyi bega kwa bega.
Yanga sasa ndo tumewasha moto.nadhani mshaona matokeo ya jana. Tutaendelea kuwachabanga wote watakaojaribu kusimama mbele yetu.