CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Ujinga na tamaa za TFF ndio zinaleta huu mkanganyiko.
Tayari GSM ameshaona kuwekeza Utopoloni ni hasara kwakuwa Utopolo inaishia humu humu, sasa wanajua Ili kupata Faida lazima uweke kitu Simba kwakuwa ndio inaitangaza Soka la Tanzania.. ukizingatia tayari Simba Ipo kwenye makundi ya Shirikisho GSM anatafuta kichochoro kwa Simba kwa Mgongo wa Udhamini wa Ligi lakini lengo lake haswa ni Simba aitangaze GSM.
Kama vile ambavyo Adidas na Puma, Sportpesa na Mbet hazikai jezi Moja. Na kama vile Uto walivyokataa Twiga mwekundu na hawakufanywa kitu basi na Simba haitavaa GSM.
Tayari GSM ameshaona kuwekeza Utopoloni ni hasara kwakuwa Utopolo inaishia humu humu, sasa wanajua Ili kupata Faida lazima uweke kitu Simba kwakuwa ndio inaitangaza Soka la Tanzania.. ukizingatia tayari Simba Ipo kwenye makundi ya Shirikisho GSM anatafuta kichochoro kwa Simba kwa Mgongo wa Udhamini wa Ligi lakini lengo lake haswa ni Simba aitangaze GSM.
Kama vile ambavyo Adidas na Puma, Sportpesa na Mbet hazikai jezi Moja. Na kama vile Uto walivyokataa Twiga mwekundu na hawakufanywa kitu basi na Simba haitavaa GSM.