Simba fukuza benchi lote la kamati ya ufundi

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Matokeo ya mechi ya leo, Machi 8, 2020 yametoa uhalisia kuwa letu la kamati ya ufundi halina tija tena. Machi ya Januari 4, 2020 tulifunga 2 bila halafu Ombaomba FC wakazirudisha. Ni fedheha kubwa kudundwa kimoja na timu yenye njaa.

Ufumbuzi uongozi uwasiliane na Field Marshal Dalali ili aweze kuleta wataalam waliobobea kucheza mechi. Huyo Muhindi MO apewe ukweli kuwa mechi za Simba na Yanga pasipo kupata maelekezo ya mtaalam wa ufundi haswa wa kutoka Pemba tutaendelea kuwa wateja wa Yanga.

Aibu imetukuta leo, mtaani pazito hata jezi zetu hazivalikiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeskia mpaka watu wa jikoni Wanalalama kwamba Mwekezaji hataki tena mambo ya tunguli msimbazi, sasa Mzeee Dalali atafanyaje na pale yupo yule Msauzi Bw. Senzo hataki kabisa kusikia. Happo sasa ndio mziki, mashuti yanapigwa lkn hayavuki mstari wa goli kweli chamoto tumekiona. Anyway leo timu mbovu Yanga na Man U zimeshinda acha nao wafurahi mara moja moja mkuuu
 
Watu kama wewe ndo wanarudisha mpira wetu nyuma na kama simba ina watu kama wewe basi tutaishia kufungwa kila siku. Simba ili iwe na matokeo bora iwekeze zaidi katika kutafuta wachezaji wazuri vijana kuja kuwa replace hawa waliopo ambao wamechoka..tofauti ya simba na yanga ni kuwa simba ina hela but kwenye management haina vijana wanaojua mpira imejaza tu wale wazee wanaotusajilia wauza matikiti wa brazil. Yanga hawana hela but kuna vijana pale wanaoumiza kichwa kila siku kuiboresha timu yao na mpaka kufikia sahv wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
 
NGOJA TUCHKUE UBINGWA KWANZA.MAMBO MENGINE YATAKAA SAWA. JANA NI CKU YA WANAWAKE DUNIANI.TULIWAPA FURSA WANAWAKE ILI TUONE KAMA NA WAO WANAWEZA, HAKIKA WANAWAKE WAKIWEZESHWA WANAWEZA, SIMBA NGUVU MOJA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubingwa wa kubebwa chukueni ila chamoto mmekiona..jiji kimyaaa...Mr Pinto anakuja na jopo lake kuifanya Yanga iwe na mfumo mpya...hamtatufunga tena ..Maana Luc ana mpango wa kuleta vifaa zaidi ya Morrison..alafu jana mna bahati alikuwa na maumivu la sivyo angewapiga mbili mlivyotepweta kipindi cha pili
 
Watu kama wewe ndo wanarudisha mpira wetu nyuma na kama simba ina watu kama wewe basi tutaishia kufungwa kila siku. Simba ili iwe na matokeo bora iwekeze zaidi katika kutafuta wachezaji wazuri vijana kuja kuwa replace hawa waliopo ambao wamechoka..tofauti ya simba na yanga ni kuwa simba ina hela but kwenye management haina vijana wanaojua mpira imejaza tu wale wazee wanaotusajilia wauza matikiti wa brazil. Yanga hawana hela but kuna vijana pale wanaoumiza kichwa kila siku kuiboresha timu yao na mpaka kufikia sahv wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.


Hao vijana wa Yanga unaowasema ndio wanaohusika na usajili wa Yikpe, Sadney Urikhob, Balinya, Maybin Kalengo, Mustapha Suleiman na Issa Bigirimana!?????
 
Back
Top Bottom