Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,103
- 9,531
Acha kutudanganya wewe....Hii timu aliasisi djuma
Djuma alikuja na formation hiyo ambayo viungo hao 2 waliielewa vzr na wakaka nayo
Mkitaka timu irudi ktk ubora ule mwiteni tena djuma airudishe kule
Lasivyo hamna na sijui kama mtapata kocha kama yule
Simba ya Masoud Djuma ilikuwa inacheza 3-5-2.