Simba FC kuwapapasa watoto wa Farao leo jioni pale kwa mchina

Simba leo tunapindua, matokeo, hakika tutawashangaza hatoki mtu Leo. kwa mchina ni machinjioni kwa yeyote anaye karibishwa tulianza na Swaziland mbane, akafuata nkana akaja mwarabu js soura toka Algeria,

Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen.

Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo.
Wewe kweli umeanza ushabiki leo hatunaga SIMBA FC Tanzania , tuna SIMBA SC tu wewe hiyo yako ni ya wapi
 
Wewe kweli umeanza ushabiki leo hatunaga SIMBA FC Tanzania , tuna SIMBA SC tu wewe hiyo yako ni ya wapi
Aisee hii mizuka niliopandisha leo dhidi ya hawa waarabu kazi kweli kweli, asante mkuu kwa kunikumbusha ngoja niweke sawa nimeanza shangalia chama hili enzi hizo fund king kibadeni ana watia goli tatu yeye peke yake hawa wa mchangani pale shamba la bibi
 
Leo paka shume anapigwa za Lukaya. Wale waliokuwepo enzi hizo vita ya Kagera inapiganwa wanakielewa kipigo ch a Lukaya.
 
Safari ile mlimfuata kidume geto kwake mkala 5 sasa leo kidume kawafuata kutandaza miti ukweni

Kila lakheri Al Ahly piga hao underdog
 
Back
Top Bottom