SIMBA FC kusherehekea ubingwa ndani ya ukumbi wa DAR LIVE.

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,123
9,168
Kwa habari za uhakika na kuaminika ni kwamba simba fc baada ya kurejea toka sudan watafanya sherehe ya nguvu kwa ajiri ya kusherehekea ubingwa wa tanzania bara baada ya kuwanyuka watan wao wa jadi jumla ya ndonga tan mtungi.

Sherehe hizo zitanogeshwa na burudan toka kwa msanii JUMA NATURE,dogo MFAUME,banza STONE,
na msondo NGOMA
 
Kwa habari za uhakika na kuaminika ni kwamba simba fc baada ya kurejea toka sudan watafanya sherehe ya nguvu kwa ajiri ya kusherehekea ubingwa wa tanzania bara baada ya kuwanyuka watan wao wa jadi jumla ya ndonga tan mtungi.

Sherehe hizo zitanogeshwa na burudan toka kwa msanii JUMA NATURE,dogo MFAUME,banza STONE,
na msondo NGOMA

Hakuna timu inaitwa Simba FC itakayosherehekea ubingwa wa Ligi kuu ya Tanzania Bara.
Hayo ndio madhara ya kukurupuka.
 
Nafikiri hii ni typo tuu alimaanisha Simba Sports Club (Taifa kubwa)

Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.
 
Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.

Nashukuru Mungu kwamba unaifahamu vizuri hii club zaidi ya ile uipendayo. Pamoja na matatizo yote hayo uliyoyaorodhesha, tulizo la Simba ni Yanga. Nadhani umenipata
 
Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.[/QUOTE



Hasira za nini mkuu, check leo Bakora zitakapotembea Jangwani kutimua viongozi wenu, nadhani utakuwa wa kwanza kutoa adhabu.
 
Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.
Ama kweli kufa kwa mdomo,mate hutawanyika
 
Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.

Sawa kabisa,na sasa hivi wana hela walipata pesa nzuri mechi za Dar dhidi ya Kiyovu,Es Setiff na Ahly Shandy bila kusahau mechi na Yanga,wafute madeni yote sasa na wakarabati vile vyoo vya Mjengoni kwao(Msimbazi)
 
Sawa kabisa,na sasa hivi wana hela walipata pesa nzuri mechi za Dar dhidi ya Kiyovu,Es Setiff na Ahly Shandy bila kusahau mechi na Yanga,wafute madeni yote sasa na wakarabati vile vyoo vya Mjengoni kwao(Msimbazi)

View attachment 53860
Poleni naona magoli matano yanawauma sana... na bado, tunaenda kuwachapa bakora wasudani huku kwao, nyie endeleeni tu kuchoga sisi tunaendelea kukiputa.

Mtake msitake Simba Taifa kubwa... tunahistoria nzuri sana Tanzania na Afrika kuliko Yanga.
 
website ni ushuzi tu.
Ni kama mtoa mada alipoamua kuleta porojo zake JF, so napoomba fact plz usiniletee fact toka kwenye website kama hiyo.

yaani bila shaka wewe ni ccm gamba siasa zimekuathiri sana ndio mana mnaleta siasa hadi kwenye mpira.
Pole sana inaonekana wewe ni yanga masalia.
 
Taifa kubwa halina uwanja wa mazoezi...
Taifa kubwa kila kukicha bakuli mitaani...
Taifa kubwa mnadaiwa pesa ya chapati mlizokula miaka 6 ilopita...
Hebu ufike wakati sasa mmalize madeni yoote yanayowakabili.

Waambie, waambie hao!

Wamekalia kutegemea tambiko (eg Mafisango) au kunyesha mvua ili wapate mafanikio!!
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Ni mwendo wa bata tu ndani ya dar live
 
Waambie, waambie hao!

Wamekalia kutegemea tambiko (eg Mafisango) au kunyesha mvua ili wapate mafanikio!!
Jamani hebu tujaribuni kuwa wakweli, mtu umelewa, gari iko speed halafu ni usiku upate ajali bado unasema ni tambiko?
 
website ni ushuzi tu.
Ni kama mtoa mada alipoamua kuleta porojo zake JF, so napoomba fact plz usiniletee fact toka kwenye website kama hiyo.

kati ya mim na wewe nani kaleta porojo sasa.??

Kati yangu mim na wew nani kategemea website ??

Tuliza yako sifuri wanaume tukale bata ?
 
yaani bila shaka wewe ni ccm gamba siasa zimekuathiri sana ndio mana mnaleta siasa hadi kwenye mpira.
Pole sana inaonekana wewe ni yanga masalia.

hakuna kitu kama hii yaani mtu akipenda timu yanga ni ccm simba ni nani na sisi azam utasikia tumenunuliwa mibongo bwana..
 
Back
Top Bottom