LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Kwa habari za uhakika na kuaminika ni kwamba simba fc baada ya kurejea toka sudan watafanya sherehe ya nguvu kwa ajiri ya kusherehekea ubingwa wa tanzania bara baada ya kuwanyuka watan wao wa jadi jumla ya ndonga tan mtungi.
Sherehe hizo zitanogeshwa na burudan toka kwa msanii JUMA NATURE,dogo MFAUME,banza STONE,
na msondo NGOMA
Sherehe hizo zitanogeshwa na burudan toka kwa msanii JUMA NATURE,dogo MFAUME,banza STONE,
na msondo NGOMA