Simba chagueni moja, msituchanganye

KAGAMEE

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
3,868
4,495
TFF imesaini mikataba na AZAM MEDIA, NBC lakini hao wote hamjahoji mikataba yao ipoje na hamkushirikishwa kwanini mnajifanya wajuaji mkataba wa GSM?

Ligi yetu (Mbovu) ina jumla ya timu 16 kwanini timu zingine hawajahoji? Nyie ndo mna mawakili wasomi tu eeh?

Sasa chagueni moja mjadala uishe;

1. Kuleta timu uwanjani Jersey zenu zikiwa na Nembo ya boss mkubwa au msuse (Mmepata pa kujificha kuogopa aibu ya kipigo cha mbwa mwizi).

2. Muendelee kuamini Mapopoma wenu wanaoongozwa na GENTAMYCINE na genge lake la wachawi wanaowaaminisha kwamba mtashinda kichawi mbele ya Yanga (wanaomtegemea Mungu) au kumtegemea Mungu.

3. Kuandika barua kwa bodi ya ligi ili isogeze derby iwe mwakani ambapo mtakuwa mmesajili au mlete vikongwe wenu mpate aibu aibu ya kufunga mwaka.

4. Kama hamtaki kuvaa Nembo rudisheni hela za boss🤣🤣🤣

Mdau ongeza chaguzi zingine ili iwe rahisi kuwapa wigo mpana wa kuchagua (OPTIONS)Kilicho bora zaidi.
 
Hawa ni wapuuzi tu ni genge fulani hivi la wahuni wanaleta porojo za kupotezeana muda tu, wanasema awakushirikishwa sijui mikataba yote ya wadhamini ya tff uwa wanashirikishwa?

Na ili kujua kwamba hoja zao hazina mashiko kwenye andiko lao wameilenga gsm na yanga wakati mkataba ni baina ya gsm na tff, gsm ni kampuni inayojitegemea na aimiliki timu yoyote ligi kuu ivyo hoja ya mgongano wa kimaslahi haina mashiko.

Halafu Kama wanakataa kuvaa nembo ya gsm basi na wao wamwambie mo awake mzigo wa udhamini atangaze viberiti vyake na yeye logo yake iwekwe kwenye jezi zaidi ya hapo mi naona ni ujinga wa hawa mbumbumbu ambao wivu unawasumbua dhidi ya gsm ambao wanaona Kama vile wamekuwa tishio kwao
 
Hawa ni wapuuzi tu ni genge fulani hivi la wahuni wanaleta porojo za kupotezeana muda tu, wanasema awakushirikishwa sijui mikataba yote ya wadhamini ya tff uwa wanashirikishwa...
Kwa thamani gani unaweka iyo logo Kama mkataba wameingia tff lazima uwe na maslahi kwa club mbona NBC haijaleta longo longo hivi Kama ni tff kasaini ibaki kwenye boards za matangazo sababu Bila hizi club za ligi kuu je tff yafaaa Nini?shida Hawa gisiemu wanalelewa Sana
 
Kwa thamani gani unaweka iyo logo Kama mkataba wameingia tff lazima uwe na maslahi kwa club mbona NBC haijaleta longo longo hivi Kama ni tff kasaini ibaki kwenye boards za matangazo sababu Bila hizi club za ligi kuu je tff yafaaa Nini?shida Hawa gisiemu wanalelewa Sana
Unamlaumu nini gsm wewe, kwani aliemfuata mwenzake kuomba udhamini ni nani? Gsm kaombwa udhamini kakubali kuweka pesa Kama alivyoombwa pia kudhamini championship akakubali kwaiyo habari ya kumlaumu gsm ni mambo ya ovyo ovyo ndo maana ametulia zake anasubili makubaliano ya kimkataba yatekelezwe na sio vinginevyo
 
Ficha upumbavu wako,kukaa kimya nako ni ushindi we nyani
Hawa ni wapuuzi tu ni genge fulani hivi la wahuni wanaleta porojo za kupotezeana muda tu, wanasema awakushirikishwa sijui mikataba yote ya wadhamini ya tff uwa wanashirikishwa?...
 
Hawa ni wapuuzi tu ni genge fulani hivi la wahuni wanaleta porojo za kupotezeana muda tu, wanasema awakushirikishwa sijui mikataba yote ya wadhamini ya tff uwa wanashirikishwa?...
Ni dhahiri kwamba kile kingereza hujaambulia kitu zaidi ya yanga na gsm. Hakuna popote yanga au gsm wamelalamikiwa bali TFF ndio wamehojiwa imekuwaje mdhamini akawakilishwa na viongozi wa klabu inayoshiriki ligi?
 
Ni dhahiri kwamba kile kingereza hujaambulia kitu zaidi ya yanga na gsm. Hakuna popote yanga au gsm wamelalamikiwa bali TFF ndio wamehojiwa imekuwaje mdhamini akawakilishwa na viongozi wa klabu inayoshiriki ligi?
Nyie ni mataahira tu, Manara ni brand ambasador wa gsm ulitaka asiwepo? Eng, hersi ni mkuu wa idara ya uwekezaji gsm mlitaka asiwepo? Kwaiyo nyie siku izi mnawapangia watu na kampuni zao waendesheje taasisi zao? Kuwepo kwao yanga aiwazuii kutofanya shughuli walizopangiwa na mwajiri wao eti kwasababu wapo yanga, kwani wakati Gharibu anamuajiri hersi alikuwa anajua atakuja kuchaguliwa kuingia kwenye kamati ya utendaji ya yanga? Au wakati anamuajiri alijua kuna siku ataidhamini ligi kuu? Sababu za ovyo ovyo izo hazina mashiko kwa mtu mwenye akili timamu
 
Unamlaumu nini gsm wewe, kwani aliemfuata mwenzake kuomba udhamini ni nani? Gsm kaombwa udhamini kakubali kuweka pesa Kama alivyoombwa pia kudhamini championship akakubali kwaiyo habari ya kumlaumu gsm ni mambo ya ovyo ovyo ndo maana ametulia zake anasubili makubaliano ya kimkataba yatekelezwe na sio vinginevyo
Basi nembo ikae kwenye jezi ya tff
 
Kwa thamani gani unaweka iyo logo Kama mkataba wameingia tff lazima uwe na maslahi kwa club mbona NBC haijaleta longo longo hivi Kama ni tff kasaini ibaki kwenye boards za matangazo sababu Bila hizi club za ligi kuu je tff yafaaa Nini?shida Hawa gisiemu wanalelewa Sana
Kama mfuatiliaji mzur wa soka la Tz, unaweza ukadirik kusema GSM analelewa?
 
Nyie ni mataahira tu, Manara ni brand ambasador wa gsm ulitaka asiwepo? Eng, hersi ni mkuu wa idara ya uwekezaji gsm mlitaka asiwepo? Kwaiyo nyie siku izi mnawapangia watu na kampuni zao waendesheje taasisi zao? Kuwepo kwao yanga aiwazuii kutofanya shughuli walizopangiwa na mwajiri wao eti kwasababu wapo yanga, kwani wakati Gharibu anamuajiri hersi alikuwa anajua atakuja kuchaguliwa kuingia kwenye kamati ya utendaji ya yanga? Au wakati anamuajiri alijua kuna siku ataidhamini ligi kuu? Sababu za ovyo ovyo izo hazina mashiko kwa mtu mwenye akili timamu
Mbona senzo na wengine hutaji, malizia tu
 
Nyie ni mataahira tu, Manara ni brand ambasador wa gsm ulitaka asiwepo? Eng, hersi ni mkuu wa idara ya uwekezaji gsm mlitaka asiwepo? Kwaiyo nyie siku izi mnawapangia watu na kampuni zao waendesheje taasisi zao? Kuwepo kwao yanga aiwazuii kutofanya shughuli walizopangiwa na mwajiri wao eti kwasababu wapo yanga, kwani wakati Gharibu anamuajiri hersi alikuwa anajua atakuja kuchaguliwa kuingia kwenye kamati ya utendaji ya yanga? Au wakati anamuajiri alijua kuna siku ataidhamini ligi kuu? Sababu za ovyo ovyo izo hazina mashiko kwa mtu mwenye akili timamu
Hoja zikizoko kwenye ile barua ulizielewa? Kama hujazielewa nenda kasome tena halafu urudi usome hiki ukichoandika hapa.
 
Back
Top Bottom