Soma vizuri kichwa cha habari mkuu7 zero we unasemaje 6
Jamaa amekurupuka anataka kuwaharibia furaha yenu,,,amedhihirisha umbumbumbu wake!!!Soma vizuri kichwa cha habari mkuu
Endelea kuota.Ipo siku Yanga wataingia kwenye mfumo. Siku sio nyingi
Naona umelewa ushindi sasa unaanza kuona kila mmoja aliye mbele yako ni Horoya.Gongowazi siku ambayo watayakanyaga kwa Mnyama bila shaka mauaji yake yatakuwa zaidi ya yale mauaji ya Kimbari
Hiyo mechi ya 5-0 nilishuhudia live uwanjani.
Kwahivyo nilipokukanda mabao sita kwa Nunge, mbele yangu hapa wewe nilikuona kama AC Horoya?Naona umelewa ushindi sasa unaanza kuona kila mmoja aliye mbele yako ni Horoya.
Ulivyokanda hayo sita ulibeba hata ubingwa kwenye huo msimu au wewe raha yako ni kufunga tu magoli?Kwahivyo nilipokukanda mabao sita kwa Nunge, mbele yangu hapa wewe nilikuona kama AC Horoya? View attachment 2557118
Wao wenyewe wanalijua hili. Ila we enjoy the moment mkuu, ya mbeleni tumwachie Mungu.Hatua inayofuata mnakutana kati ya
Widady Casablanca au mamenlload sundown au esperance
Nadhani hapo ndio mwisho wa mnyama
Mwisho wenu lin?Hatua inayofuata mnakutana kati ya
Widady Casablanca au mamenlload sundown au esperance
Nadhani hapo ndio mwisho wa mnyama
Wanaponzwa na mashabiki waoIpo siku Yanga wataingia kwenye mfumo. Siku sio nyingi
Mwisho wetu kujipoza na ubingwa wa ligi kuu, wewe je?Mwisho wenu lin?
Kwani leo nivyomkanda Horoya ilikuwa game ya kuamua Bingwa? Narudi tena nilivyokukanda mabao sita Kibadeni akipiga Hat-trick kama kama Triple C leo dhidi ya AC Horoya mbele nilikuona kama Horoya?Ulivyokanda hayo sita ulibeba hata ubingwa kwenye huo msimu au wewe raha yako ni kufunga tu magoli?