Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,303
- 105,099
Sasa kwa hicho kifungu kinasema haijalishi hata kama goli kipa kashika kwa mikono au lah,No soma vizuri Mzee. Lazima goalkeeper audake na mikono. But Manula kaucheza kwa miguu. Usiingie kwenye mtego wa wachambuzi uchwara akina Prividinho