OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,176
- 103,656
Haya wenye hela nusu mkachukue jezi Sunderland
Ni kweli mkuu, huyu refa hafai na leo kashindwa kujizuia hisia zake na kuonesha yeye ni shabiki mnazi wa azam kwa kuwapendeleaSijawahi kuona refa wa hovyo kama huyu
Kwahiyo sasa wimbo umehama umehamia huku simba yaani tumebebwa kirahisi Sana.
Mimi kama simba kindakindaki nasema hii mechi tumebeba ubingwa sio kihalali azam walitubana Sana, aibu kwetu simba na refa wetu
leo unaweza patiwa tunda kimasikhara kabisa.
Mlikua mnaomba mpira uishe.....azam ya sasa siyo ile ya mwaka juzi..THIS IS SIMBA.......NGUVU MOJA..!
Refa hajabeba Mtu isipokuwa Mechi ilikuwa Kubwa Kumzidi.
Mfano faulo gani ile Ya Inonga ....Kaunyanyua mpira kwa miguu akampasia Kipa Kwa Kichwa Yeye Kasema Faulo...!
Sema feiisal kazidi kujilegeza shololo sana
Ziba masikioTupunguzieni kelele bs
kunya tikiti mwanambiti wewe..mwanaume mzima unakuwa na Domo Kama CHUCHUNGE..ulitaka tubebe makalio yako ndo ulidhike .😠😠😠😠😠Sijawahi kuona refa wa hovyo kama huyu
Kwahiyo sasa wimbo umehama umehamia huku simba yaani tumebebwa kirahisi Sana.
Mimi kama simba kindakindaki nasema hii mechi tumebeba ubingwa sio kihalali azam walitubana Sana, aibu kwetu simba na refa wetu
upo ule uziDaaaaa umenikumbusha Mbali sanaaa Mkuuu
Hivi ule Uzi bado Upo?
Ni kwasababu alikuwa anacheza kwa usongoLkn Azam walimuandama sana
Sasa unashindwa kujua kuwa ile ilikuwa ni game plan? Kuanzia dk ya 80 Simba Sc imepaki basi ili kuulinda ushindi wake baada ya Azam kuingiza wachezaji wengi kutoka Sub.Mlikua mbaomba mpira uishe.....azam ya sasa siyo ile ya mwaka juzi..
Wamemiliki mpira zaidi ya mpinzani wao ....upande wa pili tuliona mkibutua mipira tu
Niliona kama ikiokotwa baada ya Pablo kubebwa bebwa pale.Pablo ni Kama Kapigwa Simu
TayariiiiAlivyokuwa anarushwa muda ule nikiona kama kitu cheusi kinadondoka.
Ila InonNa hata angeushika ingekuwaje foul wakati yupo ndani ya eneo lake?
Afu ukizingatia jamaa kule ndo mahome boiShiboub ana medali afu Fei toto hana
Bei gani mkuu?haya wenye hela nusu mkachukue jezi Sunderland
Ila Inonga aliunyanyua mpira kwa mguu akaupiga kwa kichwa kwa Manula, hata angeushika Manula bado siyo kosaNa hata angeushika ingekuwaje foul wakati yupo ndani ya eneo lake?
Baada ya wao kumiliki mpira na sisi kubutua butua nini kilifuata?? Jinga kabisa utopoloMlikua mnaomba mpira uishe.....azam ya sasa siyo ile ya mwaka juzi..
Wamemiliki mpira zaidi ya mpinzani wao ....upande wa pili tuliona mkibutua mipira tu
Pablo ni mtu ambaye anafanya kazi sio tu kwasababu ana hakika ya kupata mshahara wakePablo ni Kama Kapigwa Simu