Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Penati za wazi zinaonekana na za miamala zinaonekana
Umeelewa nilichokisema? Vipi Kama Kigonya kapewa ela baada ya kuonekana game ngumu afanye namna ili kuiraushia ushindi Simba? Katika hali ya kawaida kipa unayejitambua hauwezi kufanya upuuzi kama ule wakati mpira umeshafika kwenye himaya yako?
 
Back
Top Bottom