JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Hivi karibuni Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, akiwa kwenye ziara ya Makamu wa Rais Wilayani Simanjiro, alielekeza uongozi wa wilaya ya Simanjiro kuanza ujenzi wa hospitali ya Wilaya.
Agizo hili limeanza kutekelezwa baada ya mamia ya wananchi kujitokeza kuanza kuchimba msingi kwa maelekezo ya uongozi wa Wilaya.
Kwa mujibu wa uongozi wa wilaya wameeleza kuwa wamejipanga vyema kuhakikisha ujenzi huo unakamilika mapema ili wananchi waondokane na adha ya kurltembea umbali mrefu kusaka huduma
Sent using Jamii Forums mobile app
Agizo hili limeanza kutekelezwa baada ya mamia ya wananchi kujitokeza kuanza kuchimba msingi kwa maelekezo ya uongozi wa Wilaya.
Kwa mujibu wa uongozi wa wilaya wameeleza kuwa wamejipanga vyema kuhakikisha ujenzi huo unakamilika mapema ili wananchi waondokane na adha ya kurltembea umbali mrefu kusaka huduma
Sent using Jamii Forums mobile app