Mke wa mtu ni SUMU wahenga walisemagaSimanjiro Manyara
Mke wa mtu ni sumu walisema wahenga
Mkazi wa Simanjiro Mkoani Manyara ameuawa kwa kukatwa mapanga baada ya mchepuko wake ambaye ni mke wa mtu kukiri Ujauzito alionao sio wa mumewe bali wa mchepuko huyo
Ndugu wa mume aliyeibiwa mke kwa ghadabu walichukua Sheria mkononi kwa kumuua kwa mapanga
RPC Manyara amethibitisha tukio hilo na uchunguzi unaendelea
MCL
Asante kwa kunifahamisha. Mimi Msukuma nimeelewa wapi nimekosea.Wasukuma bwana...muwage mnasoma vizuri
Asante kwa Hilo. Nimetulia na nimesoma upya na kugundua wapi nimekosea. Asante.tulia soma heading, soma na kilichomo pia, acha papara
Tayari nimegundua kosa langu.Rejea andiko.
Mh!Aliyeua mwenzie naye auliwe,mimba tu anaua mtu kwani alibakwa si alipanua mwenyewe?
Wamemuonea bure huyo jamaa wangemcharanga na huyo malaya mwenzake wakazikwe kaburi mojaSimanjiro Manyara
Mke wa mtu ni sumu walisema wahenga sote tujihadhari
Mkazi wa Simanjiro Mkoani Manyara ambaye ni Daktari wa Mifugo ameuawa kwa kukatwa mapanga baada ya mchepuko wake ambaye ni mke wa mtu kukiri Ujauzito alionao sio wa mumewe bali wa mchepuko huyo
Ndugu wa mume aliyeibiwa mke wakishirikiana na ndugu yao aliyeibiwa mke kwa ghadabu walichukua Sheria mkononi kwa kuamua kumuua mgoni wao kwa mapanga
RPC Manyara Kamanda Mwakyoma amethibitisha tukio hilo na uchunguzi unaendelea
MCL
Sasa mkuu Ni vigezo vipi vimetumika kujua kuwa jamaa alimpa mimba huyo mwanamke,vipi Kama aliamua kumsingizia kwa sababu ya chuki???Wamemuonea bure huyo jamaa wangemcharanga na huyo malaya mwenzake wakazikwe kaburi moja
Simanjiro. Daktari wa mifugo wa kijiji cha Loiborsoit A wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, Malipe Ole Kisota ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu waliomtuhumu kumpa ujauzito mke wa ndugu yao.Auawa kwa tuhuma za kumpa ujauzito mke wa mtu
Daktari wa mifugo wa kijiji cha Loiborsoit A wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, Malipe Ole Kisota ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu waliomtuhumu kumpa ujauzito mke wa ndugu yao.www.mwananchi.co.tz
Asante kwa ushauri wako. Nimesoma upya na kugundua kosa langu.bora usingeandika kitu mkuu.
soma kwanza ndo uchangie
Noted.Auawa kwa kumpa ujauzito mke wa mtu
Amejidhalilisha sana halafu comment haipo sijui kafuta kwa aibuMkuu hata haujasoma habari yenyewe. Ila nadhani pia hata heading hujasoma