Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,184
Habari zenu Wanajamii Forum,hivi huu mtindo wa kinadada haka ka mtindo ka kuleta nyodo mkisimamishwa barabarani inakuwa vipi?
Mfano mzuri kuna jamaa yangu alimsimamisha binti njiani kwa madhumuni ya kumuazima pen coz aliiona kaishika lakini yule mdada alimjibu kwa nyodo na kuendelea na safari yake lakini jamani kiukweli alikuwa anahiitaji ile peni aandikie namba ngeni ya simu iliyoingia kwa simu yake si kwa lengo la kumtongoza.
Jamani kina dada sio kila mtu anayekusimamisha barabarani anataka kukutongoza mbona kina kaka wakisimamishwa wa na kina dada wanasimama?acheni hizo bwana.
Mfano mzuri kuna jamaa yangu alimsimamisha binti njiani kwa madhumuni ya kumuazima pen coz aliiona kaishika lakini yule mdada alimjibu kwa nyodo na kuendelea na safari yake lakini jamani kiukweli alikuwa anahiitaji ile peni aandikie namba ngeni ya simu iliyoingia kwa simu yake si kwa lengo la kumtongoza.
Jamani kina dada sio kila mtu anayekusimamisha barabarani anataka kukutongoza mbona kina kaka wakisimamishwa wa na kina dada wanasimama?acheni hizo bwana.