Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,589
- 215,187
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.
Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!
Naona mmeamua kuja na Aminia255
Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.
Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?
Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.
#Kigogo2014
Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!
Naona mmeamua kuja na Aminia255
Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.
Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?
Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.
#Kigogo2014