- Thread starter
- #21
SIM TANK KAKAKampun gan ilo tenki
SIM TANK KAKAKampun gan ilo tenki
Kwanini usichukue??,Wewe hujui kuwa maisha yamepanda bei?.Hapana sichukui
Nenda PMMwisho ngap nipo serious
Picha Huna?Hapana sichukui
Picha ikwapi?tanki bado linawasubiri wadau
fanyeni kama mnaliona basi
Mkuu njoo PM tuyajengeLaki Nane Mkuu natoa
Umeulizwa kampuni gani umesema Simtank wakati sio kweli.Wakuu Tank bado lipo kwa anahitaji PM
Mkuu Hilo ni simtank , na yeyote atakaetaka kununua ataliona kwanza na kama co sim tank acnunue Acha kusema vitu Huna uhakika navyo mkuuUmeulizwa kampuni gani umesema Simtank wakati sio kweli.
Au ndio nyie kila pikipiki ya miguu mitatu mnaita Bajaj?acheni kukariri Kuna zingine TVS
Mkuu Hilo ni simtank , na yeyote atakaetaka kununua ataliona kwanza na kama co sim tank acnunue Acha kusema vitu Huna uhakika navyo mkuu
Haelewi anachoandika probably atakuwa ni dalali.Unaelewa maana ya simtank?
Jamani msiwe mnaharibia watu biashara me co mwendawazimu niandike Sim tank wkt ni brand nyengine ninachoandika ninauhakika nacho ndio maana nikaandika km unahic co huhitaji ni Bora upite tuHaelewi anachoandika probably atakuwa ni dalali.
Mkuu labda hilo neno AdvantageJamani msiwe mnaharibia watu biashara me co mwendawazimu niandike Sim tank wkt ni brand nyengine ninachoandika ninauhakika nacho ndio maana nikaandika km unahic co huhitaji ni Bora upite tu