Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Sawa nyani ngabu tumekusomaI am a chupi collector.
Every chick I smash I keep one of her underwear.
What do I do with them? Nothing important. It’s just silly stuff.
Sometimes I wear them around my neck. Sometimes I just look at them. Other times I sniff them.
I know....I’m very eccentric teh teh teh....
Vita yake ilikuwaje baada ya kutoonekana mswaki wake?Nina Shem wangu bana ilibidi mswaki wake tuuvizie tuutupe. Ulishaisha ukawa umebaki bristles kama kumi na bado anautumia eti kisa aliununua Uganda alipoenda kumtembelea Ex Gf wake.
Kumbe wewe Karucee ni demu, ila una akili sana, nimechungulia nyuzi zako ni nzito nzito, basi i love uWell, vinaweza kuwa sio vya kipuuzi wala clutter as such. But kuna vitu ambavyo huwa tunaviweka maishani mwetu na sio vya umuhimu kivileee ila basi tu.
Nina mkanda wangu aisee huu ni mwaka wa 12 kama sikosei nauvaa tu. I should be ashamed but am not. Nina memories nao nakumbuka it belonged to my boyfriend who is now my husband. Na mara ya kwanza kuuvaa nilikuwa sijui kuufungua na hapo nilibanwa ku pee so my male bestfriend had to do me the honor.
Nina Shem wangu bana ilibidi mswaki wake tuuvizie tuutupe. Ulishaisha ukawa umebaki bristles kama kumi na bado anautumia eti kisa aliununua Uganda alipoenda kumtembelea Ex Gf wake.
So tutieni story, una kitu gani ambacho umekiweka mda mrefu ? Kwanini bado unacho na una memories gani nacho?
Hornet, Mentor Asprin Da vincci Mzigua90 etc
Ai lavu yuu tuuKumbe wewe Karucee ni demu, ila una akili sana, nimechungulia nyuzi zako ni nzito nzito, basi i love u
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kamdoli ka wizi yaani mmekaiba tokea mwaka 2012 mpk leo bado unachuma zambi tu kukaa nacho.Nnakamdoli tangu 2012 nimekahifadhi tyuu
Hako kamdoli nilikapenda saba kalikuwa kwenye zipu ya pochi Ila Hiyo pochi ckuipenda nilipenda mdoli tyuu
Ikabidi nimbembeleze anaeuza iyo pochi aniuzie mdoli peke ake, wakati nambembeleza rafiki yangu alimchomoa uyo mdoli akamweka kwenye pochi yake kimyaa tukanunua pochi nyingine tofauti naile,njian ndo akanipaga mpk leo kapo tyuu Japo kuwa hakana kazi sehemu ya kupitishia kamba ili nimweke kwenye zipu ilishavunjikaga muda tu