Silly question...

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,206
Kwa wale walio olewa au ku engaged ..

Na kwa wale ambao bado mnafikiria kuhusu hiyo siku??

Na kwa wanaume ni nini ulikuwa unawaza ??wakati umeshika
hiyo pete unamwangalia machoni ...

pale yule umependae, akupendae
alipo piga goti ( au njia yeyote ile) na kukuuliza
" Will you marry me"??
what was your reaction??..

ulikimbia, lia, simama, pigwa na butwaa au ulifanya nini tu??

Karibuni AD
 
Nakumbuka kaka yangu wakati anamvalisha engagement ring shemeji yangu nilipokuwa naangalia mikono yake alikuwa kama vile anatetemeka wakati anamvalisha nilipomuuliza what was happening akasema haelewi sasa sijui ni ile excitement
 
Nakumbuka kaka yangu wakati anamvalisha engagement ring shemeji yangu nilipokuwa naangalia mikono yake alikuwa kama vile anatetemeka wakati anamvalisha nilipomuuliza what was happening akasema haelewi sasa sijui ni ile excitement

hahahahahahah lol
Nimeuliza sababu rafiki yangu kipenzi jana ilikuwa zamu yake ..
jama yake alimpeleka kwenye Gondola amefika huku juu kabisa jamaa
akapiga goti na kumuuliza ... Besti anasema akashika kiuno jamaa jasho likaanza
kumtoka .. Best hakumjibu kwa muda jamaa akaanza kutokwa na chozi ..
besti ndo akasema "YES" ... tulicheka kweli walivyotupa story .........
mpaka sasa hivi jamaa hajui ni nini alichukowa anawaza..
 
Yaani duh ni great moment sana na huwa haina maelezo
Kuna excitment au kauwoga au kawasiwasi au kutoelewa reactin ya mhusika
maana u can be with someone for long time ukitegemea she will be your wife to be ila siku ya siku umepiga goti unamuuliza "will u marry me" anamaliza dak tano hajajibu
Duh inakuwa balaa woga sio woga wasi wasi sio wasi wasi yaani ni excitment ya ajabu sana
 
Yaani duh ni great moment sana na huwa haina maelezo
Kuna excitment au kauwoga au kawasiwasi au kutoelewa reactin ya mhusika
maana u can be with someone for long time ukitegemea she will be your wife to be ila siku ya siku umepiga goti unamuuliza "will u marry me" anamaliza dak tano hajajibu
Duh inakuwa balaa woga sio woga wasi wasi sio wasi wasi yaani ni excitment ya ajabu sana
Mkuu kwako ilikuwaje
 
hahahahahahah lol
Nimeuliza sababu rafiki yangu kipenzi jana ilikuwa zamu yake ..
jama yake alimpeleka kwenye Gondola amefika huku juu kabisa jamaa
akapiga goti na kumuuliza ... Besti anasema akashika kiuno jamaa jasho likaanza
kumtoka .. Best hakumjibu kwa muda jamaa akaanza kutokwa na chozi ..
besti ndo akasema "YES" ... tulicheka kweli walivyotupa story .........
mpaka sasa hivi jamaa hajui ni nini alichukowa anawaza..
Dah!!! Aisee alimuweka majaribuni kweli nafikiri mshikaji alishusha pumzi baada ya kusikia neno "YES"
 
Yaani duh ni great moment sana na huwa haina maelezo
Kuna excitment au kauwoga au kawasiwasi au kutoelewa reactin ya mhusika
maana u can be with someone for long time ukitegemea she will be your wife to be ila siku ya siku umepiga goti unamuuliza "will u marry me" anamaliza dak tano hajajibu
Duh inakuwa balaa woga sio woga wasi wasi sio wasi wasi yaani ni excitment ya ajabu sana

Swali hivi watu huwa wana jitayarisha kwa haya mambo ??
yaani yuko tayari kwa jibu lolote lile...??
 
HAhahahahahha AD, you again!! Hunichoshi mydia.
Unajua sometimes huku kwetu wengi hii excitement huwa hatuipati kwani mara nyingi pete tunavishwa tukiwa tusajua kuwa tunaolewa (na pengine hata vikao vilisha anza). Yaani inakuwa kama kuformalize tu ambayo nafikiri inaipunguza sana hii excitement.

Hivi hakuna anayetaka kunivisha kikongwe mie nami niifeel kabla sijarudi udongoni?! hahh
 
HAhahahahahha AD, you again!! Hunichoshi mydia.
Unajua sometimes huku kwetu wengi hii excitement huwa hatuipati kwani mara nyingi pete tunavishwa tukiwa tusajua kuwa tunaolewa (na pengine hata vikao vilisha anza). Yaani inakuwa kama kuformalize tu ambayo nafikiri inaipunguza sana hii excitement.

Hivi hakuna anayetaka kunivisha kikongwe mie nami niifeel kabla sijarudi udongoni?! hahh

duuhhhhhhhh
hiyo mi staki hahahaaha lol
Kwa hiyo ukisha anza tu kuishi na mtu kila mtu amesha
"assumed" unaolewa nae??dahhh

Hapo kwenye bluu hapo .. anakuja ngoja nim BP......
 
HAhahahahahha AD, you again!! Hunichoshi mydia.
Unajua sometimes huku kwetu wengi hii excitement huwa hatuipati kwani mara nyingi pete tunavishwa tukiwa tusajua kuwa tunaolewa (na pengine hata vikao vilisha anza). Yaani inakuwa kama kuformalize tu ambayo nafikiri inaipunguza sana hii excitement.

Hivi hakuna anayetaka kunivisha kikongwe mie nami niifeel kabla sijarudi udongoni?! hahh
Hahaha!!! Ngoja nikae kimya mie
 
Swali hivi watu huwa wana jitayarisha kwa haya mambo ??
yaani yuko tayari kwa jibu lolote lile...??

AD no please
Yaani mhusika hapo yuko tayari kwa jibu moja tuu nalo ni YES
Usishangae mtu akadondoka kwa presha aise
Utakapoambiwa NO wakati ulikuwa unaexpect YES unaweza pata heart attack
 
duuhhhhhhhh
hiyo mi staki hahahaaha lol
Kwa hiyo ukisha anza tu kuishi na mtu kila mtu amesha
"assumed" unaolewa nae??dahhh

Hapo kwenye bluu hapo .. anakuja ngoja nim BP......


Lol si hivyo AD ninamaanisha kuwa (sijui nakosea?) but ile pete na ile will you marry me si inatakiwa iwe kama suprise hivi? Kuwa unaye boyfriend but hujui lengo lake kwako, you are having your good time together, no known future plans and then baaaam unashtuka tu mtu kapiga goti, au ndo kakudumbukizia kwenye glasi yenye red wine e.t.c ndio anakuomba au nimeathirika na tamthilia??

Huku kwa wengi wetu naonaga mdada anakuwa ameshaakubaliana na mwenzake kuwa atamuoa (wengine mimba zinakuwa vichocheo). So hata anapokuja na pete mdomoni, na kuomba akubali amuoe, ile excitement inakuwa imeshachakachuliwa au?

Mwe mie wa zamani jamani, haya yote ni mashikolo magheni kwangu.
 
mmmmhhhh
em fikiria umeshika pumzi ndani kwa muda halafu
mtu anakwambia "NO"

AD ni ngumu kumeza maumivu hayo
Maana expectation zako zote ulikuwa unategemea YES kutokana na love na great moment mlizoshare pamoja
Ila inapokuja kuwa NO aise ni ngumu sana maana hapo mhusika ina maana akajipange upya kuanza mchakato wa kumpata mwingine
Na wakati huo huo inawezekana jamaa kashajiandaa kwa masuala ya ndoa
 
AD ni ngumu kumeza maumivu hayo
Maana expectation zako zote ulikuwa unategemea YES kutokana na love na great moment mlizoshare pamoja
Ila inapokuja kuwa NO aise ni ngumu sana maana hapo mhusika ina maana akajipange upya kuanza mchakato wa kumpata mwingine
Na wakati huo huo inawezekana jamaa kashajiandaa kwa masuala ya ndoa
Inauma Sana Mkuu, Inauma Sana tena sana
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom