Mkuu achana na mambo ya chadema,unafikiri wanakurupuka?.CHADEMA wanamfahamu Silinde kuliko wewe na wanaCCM wenzako.Muone huyu, hivi chadema mna akili gani????
Mnafukuza wabunge bila hata kuwahoji sheria gani hizi??? Msikilize Lwakatare kaeleza udikteta wa mzee wenu mnayemtukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi ya Mhe Mbowe wakati mwingine ni ya kushangaza sana. Tuache tabia ya kukomoana.
Ukiwa na kijana wa kiume asiyekutii kama baba, huwezi kutimka na kumwachia mji. Bora umtimuwe akaanzishe mji wake. Ushauri :Wabunge mapoyoyo waliotimuliwa uanachama wa Chadema wajiunge ccm au ccm b-nccr.Mkuu hata kama wewe ni mwendawazimu ila kwenye hili lazima uone kuna tatizo kubwa kwenye uongozi vyama vya upinzani. Mbowe siyo mamlaka ya serikali na siyo msemaji wa wana momba, mbunge kuhudhuria bungeni kuwawakilisha wananchi wake ni kosa???? Ni kichaa na mwendawazimu ka wewe ndiye anasapoti upinzani na maamuzi ya kijinga namna hii.
Kwani hukuona kaitwa? Acha kujifanya chizi. Aliitwa kupewa maelezo na kusikilizwa na kujitetea. Huyu wa chadema aliitwa?Membe kuna taratibu zilifuatwa,
Nakuona ulivyokuwa mwekundu. Chadema mnaingua nayo slow death!Ni Mpumbavu Sana, Nenda Sasa Uwakilishe Wananchi Wa Momba Pumbavu Sana.
Chama cha Demokrasia hicho!Chadema wanapaswa kufuata taratibu! Unatoaje hukumu bila mhusika kujieleza.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chadema sasa kimekuwa chama cha hovyo kabisa. Mnazidi kupoteza uungwaji mkonoMuone huyu, hivi chadema mna akili gani????
Mnafukuza wabunge bila hata kuwahoji sheria gani hizi??? Msikilize Lwakatare kaeleza udikteta wa mzee wenu mnayemtukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ana maamuzi ya ajabu kweli, kufukuza wabunge wanne anakiua chama kabisaMkuu hata kama wewe ni mwendawazimu ila kwenye hili lazima uone kuna tatizo kubwa kwenye uongozi vyama vya upinzani. Mbowe siyo mamlaka ya serikali na siyo msemaji wa wana momba, mbunge kuhudhuria bungeni kuwawakilisha wananchi wake ni kosa???? Ni kichaa na mwendawazimu ka wewe ndiye anasapoti upinzani na maamuzi ya kijinga namna hii.
Aende akapinge ajenda za magufuli Kama hajapigwa mpaka na shangazi zake.Mbowe ni dikteta
Elimu na uongozi haviepukiki
Sasa nyie CCM si mfurahie anakiua chama ili kazi yenu iwe rahisi,mmeanza kumuones huruma Mbowe tangu lini.Jamaa ana maamuzi ya ajabu kweli, kufukuza wabunge wanne anakiua chama kabisa
Eti leo CCM mnahuruma na Lwakatare hahah,mmeshasahau mlibambikiaga kesi ya Ugaidi ?Muone huyu, hivi chadema mna akili gani????
Mnafukuza wabunge bila hata kuwahoji sheria gani hizi??? Msikilize Lwakatare kaeleza udikteta wa mzee wenu mnayemtukuza
Sent using Jamii Forums mobile app