Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,006
Sio kweli startup nyingi za Tanzania zina idea za kawaida sana ambazo ni ngumu kumshaeishi investor akaweka mzigo wa maanani kweli kabisa mie binafsi nilikuwa nafuatilia the same issue nakumbuka nikauliza hapa hapa JF na wapo walioninanga... anyways kuna mengi ambayo naweza kukushauri ila ni mpaka nijue kampuni yako inahusika na nini, vile vile sitaki kujua kampuni yako inahusika na nini nisije nikaiba idea hahahaha however ingia humu utapata mawili matatu
Fast offshore company registration | Just From US$439 in 30 Mins