Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Hapo ndio pagumu sana kwake. Hata Mwaka Jana alipata kura za hasira na sio uwezo wa kujieleza!!
Mnalialia hku jf fanyeni kazi 2017 lumumba fc hamtakua n uwezo wa kuweka mb kwenye pc zenuUkweli umekuumiza hivi? mwelekeze afanyie kazi mapungufu na sio kulia lia.
kinachokusumbua ni buku 7 za lumumba,unatumika na unauza utu kwa pesa ya madafu.Kinachokusumbua ni kubishana na ukweli.Hili jambo hata Mbowe alishawahi kulizunumzia...'Lowassa bubu'
wala rambirambi mafedhuli wakubwaLowasa siyo mwanasiasa ni tapeli wa siasa wala hana cha maana hata kimoja.
Katika kipindi cha kampeni mwaka jana Ndugu Lowassa hakuwahi kuzungumza maneno kumi kwa mara moja,mara nyingi alizungumza maneno matatu au manne nikafikiri labda ilikuwa ni uchovu ulichangiwa na hasira za kutopitishwa na CCM.
Lakini ninachoshuhudia sasa kwenye ziara zake huko mikoa ya kusini ni aibu, hawezi kujenga hoja kabisa.
Kwa sasa amebaki na kauli mbiu moja tu 'walinisema mimi ni mgonjwa lakini nipo hai'.
Kwa watu makini mtanielewa ya kuwa kwa mwanasiasa mahiri yeyote ni lazima uwe mahiri kwenye kuongea,kutoa maagizo,kukemea,kupongeza na kushawishi umma na sio kutegemea kundi la wafuasi wakusemee.
Kama udhaifu huu utaendelea ni vema wafuasi wake nayeye mwenyewe atambue ya kwamba ni mzigo,kushindwa kujenga hoja na kushikilia sentensi moja ili kupata huruma ni udhaifu mkubwa sana.
Nawasilisha.
Kwa hiyo na wewe amekununua?Kumtaja lazima atajwe si ananunua waandishi kumrusha? na kujipitisha huku na kule...
Mkuu,kujifunza mema ni vyema.Mleta mada; kwani wewe hujifunzi kwa wengine?
Je; kujifunza kwa wengine ni dhambi?
Aliugua kipindu pindu alikuwa anashinda chooni.Mbona wakati wa kampeni aliongea mengi tu.au ulikuwa haujazaliwa?
Hoja ni pamoja na Push ups ambazo leo uchumi unayoyoma ..........Mbona hatuoni tena mbwebwe za kuongea vilugha vyote vya kienyeji ? KUNYWA MAJI MWANANGUKatika kipindi cha kampeni mwaka jana Ndugu Lowassa hakuwahi kuzungumza maneno kumi kwa mara moja,mara nyingi alizungumza maneno matatu au manne nikafikiri labda ilikuwa ni uchovu ulichangiwa na hasira za kutopitishwa na CCM.
Lakini ninachoshuhudia sasa kwenye ziara zake huko mikoa ya kusini ni aibu, hawezi kujenga hoja kabisa.
Kwa sasa amebaki na kauli mbiu moja tu 'walinisema mimi ni mgonjwa lakini nipo hai'.
Kwa watu makini mtanielewa ya kuwa kwa mwanasiasa mahiri yeyote ni lazima uwe mahiri kwenye kuongea,kutoa maagizo,kukemea,kupongeza na kushawishi umma na sio kutegemea kundi la wafuasi wakusemee.
Kama udhaifu huu utaendelea ni vema wafuasi wake nayeye mwenyewe atambue ya kwamba ni mzigo,kushindwa kujenga hoja na kushikilia sentensi moja ili kupata huruma ni udhaifu mkubwa sana.
Nawasilisha.
Hivi Prof.Muhongo yuko wapi siku hizi ?Lowasa siyo mwanasiasa ni tapeli wa siasa wala hana cha maana hata kimoja.
Jikite kwenye mada....,huwezi kutegemea kuishi kwa kupewa hela na shemeji tafuta kazi kama shemeji katumbuliwa.Hoja ni pamoja na Push ups ambazo leo uchumi unayoyoma ..........Mbona hatuoni tena mbwebwe za kuongea vilugha vyote vya kienyeji ? KUNYWA MAJI MWANANGU
Unajiliwaza. Ukweli huu unakupofusha macho.Aliugua kipindu pindu alikuwa anashinda chooni.
Siasa zimepigwa marufuku mpaka 2020 .sasa unataka Lowasa akajielezee wapiKatika kipindi cha kampeni mwaka jana Ndugu Lowassa hakuwahi kuzungumza maneno kumi kwa mara moja,mara nyingi alizungumza maneno matatu au manne nikafikiri labda ilikuwa ni uchovu ulichangiwa na hasira za kutopitishwa na CCM.
Lakini ninachoshuhudia sasa kwenye ziara zake huko mikoa ya kusini ni aibu, hawezi kujenga hoja kabisa.
Kwa sasa amebaki na kauli mbiu moja tu 'walinisema mimi ni mgonjwa lakini nipo hai'.
Kwa watu makini mtanielewa ya kuwa kwa mwanasiasa mahiri yeyote ni lazima uwe mahiri kwenye kuongea,kutoa maagizo,kukemea,kupongeza na kushawishi umma na sio kutegemea kundi la wafuasi wakusemee.
Kama udhaifu huu utaendelea ni vema wafuasi wake nayeye mwenyewe atambue ya kwamba ni mzigo,kushindwa kujenga hoja na kushikilia sentensi moja ili kupata huruma ni udhaifu mkubwa sana.
Nawasilisha.
Kwa hiyo unamaanisha rais sio lazima ujue kujenga hoja na kuIsimamia. Hizo ni mbwebwe sioPorojo za JK ziliyusaidia nini?Matamko ya mwendokasi ya Magu yana faida gani kama mambo ndio yanazidi kuharibika?Imefika mpaka watu wanashauri Rais awe anasoma hotuba kuliko kujiongelea tu.Kuongea na kubaki kwenye mstari ni kipaji,aliweza mwalimu JKN.