nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
nani kakuambia kaizer wanyonge mdomoni? kwa taarifa yako hakuna wapiga mdomo kama hao south africa hii mechi yetu kwenye social media inaitwa battle of loudspeakers hata twitter kule CAF wana enjoy sana ku ipost kila wakati inapata comments nyingi sana ,ila kesho wanakufa 6-0 leo usiku saa tano wanachukuliwa kimazingara kwenda kufanyishwa kazi kiwanda cha wazo hill cement wasaidie kukuza uchumi wa nchi kwanzaHakuna kikosi ambacho Simba wanaweza kukipanga na wakaitoa Kaizer Chiefs. HAKUNA
Kwa mpira wa Chiefs Simba anaweza akala kichapo na kesho pia.
Kaizer ni wanyonge mdomoni lakin hatar sana uwanjan contrary to SSC ambao ni Barcelona mdomoni lakini ni Simba ya Kariakoo uwanjani.
Mtaikumbuka hii Comment. Kwanza kiuhalisia japo Manara anababwaja babwaja kujipa matumain hewa lakini Wachezaji wa Simba hasa Manula na Onyango hadi benchi la ufundi wanaiogopa mno Chiefs .