Silaha mbili za Mwl. J.K Nyerere zilzomjenga na kumwimarisha ni..

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
maria%20nyerere1.jpg

Mama Maria Nyerere (katikati) akizungumza Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Fenella Mukangara (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Sihaba Nkinga walipomtembelea nyumbani kwake Butiama, Musoma vijijini, jana. Picha na Elias Msuya


Wakati wengi wa viongozi wetu wanakazana kumtukuza Nyerere na kujikomba kwa mjane wake Mama Maria nyerere kwa safari lukuki Butiama bila ya kujiuliza nini kilicho tofauti kati yao na the real J.K .........forget the imposter Jk amidst us posing like the real one.....................

Nyerere kwenye moja ya hotuba zake alitupa siri za mafanikio yake ambazo wenye nia ya kuiga mfano wake ni vyema wakajiuliza mbona silaha hizo mbili za mzee Kifimbo zipo kila mahali....................ni lipi lina washinda wasifuate nyayo zake?????......................

Silaha mbili Nyerere alizotuachia ni hizi hapa zifuatazo ya kuwa kila alipo au aendako ana hakikisha ana vitabu viwili ambavyo huvisoma na kuvitafakari sana............................Biblia Takatifu na kitabu cha Azimio la Arusha......................

ndani ya vitabu hvi nyerere alijifunza ya kuwa busara hutoka kwa Mwenyezi Mungu na kamwe mwanadamu hawezi kukupa busara..............elimu ya darasani ni maruerue tu............na ya kuwa kumtendea mwanadamu mwenzio usivyopenda wewe kutendewa ni kukufuru dhidi ya Muumba na kumchukiza hata mwanadamu mwenzako...........................kutokana na misingi hiyo mitakatifu...................Nyerere alijifunza kuheshimu utu wa mtu na katika maisha yake yote alikataa tamaa za duniani za kujipendelea yeye na familia yake au kutudhulumu raia wa Tanzania...........kutokana na kuwa na busara hizi za Muumba sisi tutaendelea kumuenzi kwa vizazi vingi vijavyo....................

badala ya viongozi wetu kutumia gharama kubwa haswa ya muda wao kwenda Butiama na kuendeleza sera za kinafiki na hadaa dhidi yetu wangelitumia muda mwingi kujiuliza swali moja tu..................................What made Nyerere tick in his lifetime?
 
maria%20nyerere1.jpg

Mama Maria Nyerere (katikati) akizungumza Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Fenella Mukangara (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Sihaba Nkinga walipomtembelea nyumbani kwake Butiama, Musoma vijijini, jana. Picha na Elias Msuya


Wakati wengi wa viongozi wetu wanakazana kumtukuza Nyerere na kujikomba kwa mjane wake Mama Maria nyerere kwa safari lukuki Butiama bila ya kujiuliza nini kilicho tofauti kati yao na the real J.K .........forget the imposter Jk amidst us posing like the real one.....................

Nyerere kwenye moja ya hotuba zake alitupa siri za mafanikio yake ambazo wenye nia ya kuiga mfano wake ni vyema wakajiuliza mbona silaha hizo mbili za mzee Kifimbo zipo kila mahali....................ni lipi lina washinda wasifuate nyayo zake?????......................

Silaha mbili Nyerere alizotuachia ni hizi hapa zifuatazo ya kuwa kila alipo au aendako ana hakikisha ana vitabu viwili ambavyo huvisoma na kuvitafakari sana............................Biblia Takatifu na kitabu cha Azimio la Arusha......................

ndani ya vitabu hvi nyerere alijifunza ya kuwa busara hutoka kwa Mwenyezi Mungu na kamwe mwanadamu hawezi kukupa busara..............elimu ya darasani ni maruerue tu............na ya kuwa kumtendea mwanadamu mwenzio usivyopenda wewe kutendewa ni kukufuru dhidi ya Muumba na kumchukiza hata mwanadamu mwenzako...........................kutokana na misingi hiyo mitakatifu...................Nyerere alijifunza kuheshimu utu wa mtu na katika maisha yake yote alikataa tamaa za duniani za kujipendelea yeye na familia yake au kutudhulumu raia wa Tanzania...........kutokana na kuwa na busara hizi za Muumba sisi tutaendelea kumuenzi kwa vizazi vingi vijavyo....................

badala ya viongozi wetu kutumia gharama kubwa haswa ya muda wao kwenda Butiama na kuendeleza sera za kinafiki na hadaa dhidi yetu wangelitumia muda mwingi kujiuliza swali moja tu..................................What made Nyerere tick in his lifetime?
this is typical ujinga. Je wale wachina walioendelea na wengi wao hawamuamini mungu imetokea vipi? Hawa wazungu ambao unaamini wamekuletea dini mbona wameendelea kwa kutudhulumu? Toa ujinga wako hapa.
 
Mkuu hapa na wewe umechapia...
- Azimio la Arusha litamjenga vipi wakati yeye mwenyewe ndiye muasisi wa Azimio hilo!
- UTU, kuheshimu Utu hakutokani na imani ya dini tu bali ni katika matumizi mazuri ya tuzo alotujaalia mwenyezi Mungu sisi binadamu - AKILI..
 
Sijui jamaa amekujibu kw akufikiria au amejibu tuu
Kuwa na Mungu au kutokuwa na Mungu ni issue nyingine hapo
Ila anachojaribu kuzungumzia Ruta ni ile kuwa na utu na ubinadam utu wa kujali maslahi ya nchi yako na kutoingia katika mikataba ya kifisadi ambayo matunda yake yanaonekana mpaka sasa
Kutouza rasilimali zetu kwa bei ya kutupa ambapo wanaofaidika nazo ni wachache na wengine wanakufa kwa njaa
Kuwajali raia wako na kuwa kiongozi kwa ajili yao na sio kwa ajili ya manufaa yako na familia yako
Nafikiri Ruta ndio alichomaanisha na sio kuwa na Mungu kama muumini wa dini
 
Mwalimu alikuwa hapendi kuwa criticized na alikuwa mzuri sana katika suala zima la kuwafanya mbaya wabaya wake
 
Back
Top Bottom