OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,777
- 102,139
Fuatilia na Wasafi TV,ukikuta ni ya Nasibu natembea uchi kuanzia Ubungo mpaka Postal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichukulia leseni zanzbar ili kuleta uficho ila wajuvi wanajua kuwa mwenye hisa nyingi ni yule boss wa kihaya anayekaa tabata ambaye watoto wake wanafujo sana mjini kwa sasaFuatilia na Wasafi TV,ukikuta ni ya Nasibu natembea uchi kuanzia Ubungo mpaka Postal
ni yakeLabda watamfanyia manjiru kwenye kodi ya Dar live
Inavyosemekanani yake
Lelangai na mosikani yake
Huwezi hata kujiongeza kidogo? Mbona Rostam Aziz alikuwa na kampuni zaidi ya 20 lakini hakuna iliyokuwa na jina lake kama mkurugenzi!... Kutokuona jina lake haimaanishi haimhusu...View attachment 804614
Kwenye documnets za TCRA inaonekana mmliki ni mtu anaitwa Joachim Lusana Buyobe ambapo ndio mmiliki wa Geita online TV.
Je, huyu mtu yupo kweli ama Shigongo ametumia jina tu kukwepa kuonekana kwake?
Kwanin mnashindwa kuvumiliana akushindae kwa kusema mshinde kwa kunyamanzaOk mtu mwenye akili kubwaaaz le mbebezi fuatilia za baba ako basiii kama zipo
Wewe hujitambui hata robo; chochote kilichopo kwenye public domain ni "public good"; general public ina haki ya kuhoji A to Z. Wacha ubwabwa!Hivi mwanaume unaanzaje kufuatilia mali za mwanaume mwenzio unataka kuolewa?
Hapa ni celebrities forum, wewe jaribu jukwaa la Kilimo na ufugaji litakufaaHivi mwanaume unaanzaje kufuatilia mali za mwanaume mwenzio unataka kuolewa?
Hebu angalia kwenye usajili wa tcra mkuu lazima ajisajili bara hawezi akajisajili Zanzibar ikatosha. Nitumie link niingie kwenye hiyo list nioneAlichukulia leseni zanzbar ili kuleta uficho ila wajuvi wanajua kuwa mwenye hisa nyingi ni yule boss wa kihaya anayekaa tabata ambaye watoto wake wanafujo sana mjini kwa sasa
uganga wako ni hali juu sana aisee; wewe uliyajua mapema sana kumbeAmeahidiwa ubunge 2020
Tisha sanaa mkuuAlishamalizana nao na kumuahidi kumpa nafasi ya kuwa mgombea 2020
Tisha sanaaAmeahidiwa ubunge 2020
We jamaa bwana..Alishamalizana nao na kumuahidi kumpa nafasi ya kuwa mgombea 2020
Anza kutembea uchi kwasababu ni yakeFuatilia na Wasafi TV,ukikuta ni ya Nasibu natembea uchi kuanzia Ubungo mpaka Postal