Sikuwahi kujua kuwa mtangazaji Babie Kabae wa Clouds TV ni mzuri hivi..!

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Mtangazaji wa clouds media group Babie Kabae ana " UVUNGU " wa haja na " BASTOLA " za uhakika hivi hadi anafikia hatua anasababisha watu tunaacha kuko centrate katika kusikiliza taarifa zao muhimu na muda wote tunamkodolea yeye tu. hakika Mwenyezi Mungu anastahili SIFA zake na si vibaya nikisema shikamoo kwa Babie Kabae.

Nilikuwa najiuliza kwanini Wanaume huwa wanafikia hadi hatua ya kuhonga majumba ya thamani, gari za thamani na pesa nyingi ila kwa muonekano mzuri wa huyu mtangazaji sasa nimeshapata jibu. hongereni sana clouds tv kwa usajili wenu huo wa uhakika wa huyo Babie Kabae na uliovunja rekodi na hakika hatubanduki katika kipindi chenu cha 360.

Yule chinga aliyekuwepo awali hapo 360 sasa kapotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom