Ni huko Kibaha kwa Mathias, upande wa kushoto unapotokea Dar- 7km kuelekea kijiji kilipo, maelfu Kwa maelfu ya watu idadi (inakadiriwa ni kama mara mbili au tatu ya ujazo wa watu ambao huingia katika maonyesho ya siku ya Sabasaba) wamehudhuria kusanyiko katika kijiji kinachomilikiwa na mtume na nabii Mwingira.
Nimefanikiwa kufika eneo hilo watu ni wengi sana na eneo ni kubwa sana takribani square mita 2,000,000sq na zaidi maarufu kama kijiji cha Mwingila. Huduma zilizomo ni Umeme, maji, network, bank hospital na sasa wanatarajia kuweka na hoteli za kifahari, mkusanyiko huo umeleta watu kutoka kila mkoa na wengine kutoka nje ya nchi ambao kila kundi la watu wana mtaa wao wa mkusanyiko.
Mwenyeji mmoja kasema mkusanyiko huo hufanyika kila mwaka Kwa siku saba Kwa ajili ya waumini wake kupokea uponyaji, kushiriki mkutano huo, kila muumini huchangia Pesa Kwa ajili ya malazi na Chakula. Jumba ambapo mtume hupumzika hapatakiwi watu kukatiza ovyo.
Picha ya hapo chini ni kanisa lililopo huko lenye kubeba watu zaidi ya million moja
Nimefanikiwa kufika eneo hilo watu ni wengi sana na eneo ni kubwa sana takribani square mita 2,000,000sq na zaidi maarufu kama kijiji cha Mwingila. Huduma zilizomo ni Umeme, maji, network, bank hospital na sasa wanatarajia kuweka na hoteli za kifahari, mkusanyiko huo umeleta watu kutoka kila mkoa na wengine kutoka nje ya nchi ambao kila kundi la watu wana mtaa wao wa mkusanyiko.
Mwenyeji mmoja kasema mkusanyiko huo hufanyika kila mwaka Kwa siku saba Kwa ajili ya waumini wake kupokea uponyaji, kushiriki mkutano huo, kila muumini huchangia Pesa Kwa ajili ya malazi na Chakula. Jumba ambapo mtume hupumzika hapatakiwi watu kukatiza ovyo.
Picha ya hapo chini ni kanisa lililopo huko lenye kubeba watu zaidi ya million moja