Sikuwahi kudhani kama Rais huyu mstaafu ananung'unika ila nilipenda wosia wake nilipomtembelea kwake

Mungu asijishughulishe na mambo yetu kama shule zetu, asijishughulishe na serikali na taifa letu, na mbaya zaidi asijishughulishe na maisha yetu. Sasa kwa kuwa Mungu wetu niwa hekima na msikivu, naamini kabisa ameamua kutuacha.
Aiseee, sijasoma huko chini. Nitaendelea.

Hii inanikumbusha zile sala nyingi! Aaaah, sijui ni 'coincidence?

Ngoja niendelee.
 
Umekopi vitu vilivyoandikwa na watu wengine. Kibaka wewe!
Mbona ni nyuzi tofauti kabisa katika malengo?
I think jamaa ameitumia kumsema mkuu kiujanja
 
Britannica acha wizi wa taarifa. Taja chanzo halisi cha taarifa yako; usijifanye wewe ndiye chanzo cha hiyo taarifa huku ukijua kuwa huo siyo ukweli. Huo ujumbe wako umechakachua mahali. Ni ujumbe watu wametumiana sana kwenye makundi ya Whatsapp na chanzo cha huo ujumbe siyo hicho ulichotaja kwenye andiko lako. Linda heshima yako, chomoa huu uzi.
Sijaona alipoiba sema mnaumia k umsema Le jiwelov
 
Mungu akubariki na tafadhali weka maoni yako alafu mtag member unaye hisi ujumbe huu utamgusa na rafiki zako na watu wengine
Sasa sijui huyo mstaafu anaishi pango lipi Britanicca kama haoni makanisa, misikiti ilivyotapakaa kila sehemu nchini!
Haoni viongozi wenzake walivyopania na sala kwa raha zao, wakati waumini wenzao wanashangaa ni nani kati yao atamdhuru huyo anayelindwa vile hadi ndani ya nyumba ya Mungu?

Kiongozi huyo mstaafu, kama ni kweli yupo (maana nina mashaka makubwa kama yupo mwenye mawazo kama uliyoyaweka hapa), kama anaona kuzuia mabadiliko yanayoikumba dunia nzima inawezekana. Ni taifa gani hilo litaweza kuzuia mwingiliano wa mawasiliano kiasi kinachotokea sasa, na kudhani anaweza kuliweka taifa lake pangoni lisiguswe na hali halisi ilivyo duniani kote?

Sio Korea Kaskazini, Iran wala Saudia wanaweza kuweka kizuizi cha mabadiliko hayo. Hata Vatican hawawezi. Huwaoni mapadre?
Jambo pekee linalowezekana ni kuya'manage' vizuri mabadiliko hayo kwa njia za kistaarabu.

Nashangaa kusikia kiongozi kama huyo asiyejua watu "wanaokoka" miongoni mwetu kila siku! Eeeenh Heee. Ngoja nicheke kidogo. Maanake leo umetoa kali mkuu Britanicca!

Mimi namuunga mkono huyo binti mwenye maswali mengi na mazito. Mzee kashindwa kabisa kuyajibu; na mbaya zaidi, nawe hukuwa na msaada wowote ili kumsaidia kuyajibu hayo maswali.

Mimi namwita Paskali. Sijui kwa nini siku hizi nimetokea kumkumbuka zaidi.
 
Alphonce Mawazo aliuawawa kipindi cha Msoga na Bomu la Olasit pia tusisahau.
Kifo cha marehemu ndugu yetu Alphonce, lilikuwa tukio la ghafla na sio la kupangwa, na halikustahili kutokea.

Olasit tungejua ukweli kama ndugu Mbowe angetoa ile video aliyosema anayo.
 
Britannica acha wizi wa taarifa. Taja chanzo halisi cha taarifa yako; usijifanye wewe ndiye chanzo cha hiyo taarifa huku ukijua kuwa huo siyo ukweli. Huo ujumbe wako umechakachua mahali. Ni ujumbe watu wametumiana sana kwenye makundi ya Whatsapp na chanzo cha huo ujumbe siyo hicho ulichotaja kwenye andiko lako. Linda heshima yako, chomoa huu uzi.
Potelea mbali, alimradi ujumbe ushafika hapa, acha tuujadili ulivyo bila kujali nani kauleta au umetoka wapi.
Tumsamehe Britanicca kwa 'transgression' iliyofanyika.
 
Sasa sijui huyo mstaafu anaishi pango lipi Britanicca kama haoni makanisa, misikiti ilivyotapakaa kila sehemu nchini!
Haoni viongozi wenzake walivyopania na sala kwa raha zao, wakati waumini wenzao wanashangaa ni nani kati yao atamdhuru huyo anayelindwa vile hadi ndani ya nyumba ya Mungu?

Kiongozi huyo mstaafu, kama ni kweli yupo (maana nina mashaka makubwa kama yupo mwenye mawazo kama uliyoyaweka hapa), kama anaona kuzuia mabadiliko yanayoikumba dunia nzima inawezekana. Ni taifa gani hilo litaweza kuzuia mwingiliano wa mawasiliano kiasi kinachotokea sasa, na kudhani anaweza kuliweka taifa lake pangoni lisiguswe na hali halisi ilivyo duniani kote?

Sio Korea Kaskazini, Iran wala Saudia wanaweza kuweka kizuizi cha mabadiliko hayo. Hata Vatican hawawezi. Huwaoni mapadre?
Jambo pekee linalowezekana ni kuya'manage' vizuri mabadiliko hayo kwa njia za kistaarabu.

Nashangaa kusikia kiongozi kama huyo asiyejua watu "wanaokoka" miongoni mwetu kila siku! Eeeenh Heee. Ngoja nicheke kidogo. Maanake leo umetoa kali mkuu Britanicca!

Mimi namuunga mkono huyo binti mwenye maswali mengi na mazito. Mzee kashindwa kabisa kuyajibu; na mbaya zaidi, nawe hukuwa na msaada wowote ili kumsaidia kuyajibu hayo maswali.

Mimi namwita Paskali. Sijui kwa nini siku hizi nimetokea kumkumbuka zaidi.
Pascal Mayalla umepita kimya sana nadhani ni baada ya watu kusema nimecopy ujumbe, ni sawa maudhui yako sawa ila ujumbe umefikishwa kwa jamii kwa njia ya fasihi, weka Neno hapa
 
Britannica Encyclopedia
Mkuu Encyclopedia Britannica, nilikuwa nakusoma toka ile 2015 na kuchangia mabandiko yako, lakini siku ya kwanza kukusoma kwa kukuzingatia ni katika lile bandiko lako la Omukanjuhuti


Nilikuita Enisekolopedia Buritanica, leo nimefurahi kuona umesaini Britannica Encyclopedia

Rekebisha basi jina lako lifananie, badala ya Britanicca, weka Britannica ili wewe ndio uwe the Encyclopedia yetu humu jf ya historia.

Jumapili njema.

P
 
Mkuu Encyclopedia Britannica, nilikuwa nakusoma toka ile 2015 na kuchangia mabandiko yako, lakini siku ya kwanza kukusoma kwa kukuzingatia ni katika lile bandiko lako la Omukanjuhuti


Nilikuita Enisekolopedia Buritanica, leo nimefurahi kuona umesaini Britannica Encyclopedia

Rekebisha basi jina lako lifananie, badala ya Britanicca, weka Britannica ili wewe ndio uwe the Encyclopedia yetu humu jf ya historia.

Jumapili njema.

P
Kabisaaa mkuu sasa Jina kurekebisha nataka liwe encyclopedia kabisa
 
Mkuu Encyclopedia Britannica, nilikuwa nakusoma toka ile 2015 na kuchangia mabandiko yako, lakini siku ya kwanza kukusoma kwa kukuzingatia ni katika lile bandiko lako la Omukanjuhuti


Nilikuita Enisekolopedia Buritanica, leo nimefurahi kuona umesaini Britannica Encyclopedia

Rekebisha basi jina lako lifananie, badala ya Britanicca, weka Britannica ili wewe ndio uwe the Encyclopedia yetu humu jf ya historia.

Jumapili njema.

P
Kwasababu ulizingatia jina Katto
 
Nimeupenda ujumbe nadhani huyu atakuwa mzee wa msoga kama siyo Mwinyi , maana Mkapa anafungukaga tu bila uoga anasema ninyi ni malofa ipo siku atamwambia na wewe lofa kubwa usijinasibuu

cc nchonga aliyebaki
umekosea mzee wa msoga awezi kutema nondo kama hizo....yule hana dini...maneno haya nina uhakika ametamka Rais mwinyi...
 
Back
Top Bottom