britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
- Thread starter
- #81
SimuliziMhuuum hii ni fasihi simulizi ama uhalisia?
SimuliziMhuuum hii ni fasihi simulizi ama uhalisia?
Nimeupenda ujumbe nadhani huyu atakuwa mzee wa msoga kama siyo Mwinyi , maana Mkapa anafungukaga tu bila uoga anasema ninyi ni malofa ipo siku atamwambia na wewe lofa kubwa usijinasibuu
cc nchonga aliyebaki
Britannica acha wizi wa taarifa. Taja chanzo halisi cha taarifa yako; usijifanye wewe ndiye chanzo cha hiyo taarifa huku ukijua kuwa huo siyo ukweli. Huo ujumbe wako umechakachua mahali. Ni ujumbe watu wametumiana sana kwenye makundi ya Whatsapp na chanzo cha huo ujumbe siyo hicho ulichotaja kwenye andiko lako. Linda heshima yako, chomoa huu uzi.