Sikuwahi kudhani kama Rais huyu mstaafu ananung'unika ila nilipenda wosia wake nilipomtembelea kwake

Britannica acha wizi wa taarifa. Taja chanzo halisi cha taarifa yako; usijifanye wewe ndiye chanzo cha hiyo taarifa huku ukijua kuwa huo siyo ukweli. Huo ujumbe wako umechakachua mahali. Ni ujumbe watu wametumiana sana kwenye makundi ya Whatsapp na chanzo cha huo ujumbe siyo hicho ulichotaja kwenye andiko lako. Linda heshima yako, chomoa huu uzi.
 
Back
Top Bottom