Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,578
Zanzibar ni kama ka mkoa tu hiyo moja inatosha tuVipi na mikoa ya zanzibar ina ofisi ndogo ya rais?..
Zanzibar ni kama ka mkoa tu hiyo moja inatosha tuVipi na mikoa ya zanzibar ina ofisi ndogo ya rais?..
Ofisi Ndogo Ikulu zipo katika kila Mkoa
Zanzibar ina mikoa 5 na kila mkoa una Ikulu ndogo ya Rais wa Muungano.Kwa hiyo Zamzibar ni mkoa au nchi?
Zanzibar kiutawala ni mkoa. Na kila mkoa una Ikulu ndogo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SC Johnson ya nchini Marekani Bw. Fisk Johnson Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar leo tarehe 23 Agosti 2022. Hafla ya uzinduzi huo imefanyika leo tarehe 08 April 2022 mjini Zanzibar.View attachment 2180784
Kwamba leo tarehe 23 Agosti 2022Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SC Johnson ya nchini Marekani Bw. Fisk Johnson Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar leo tarehe23 Agosti 2022. Hafla ya uzinduzi huo imefanyika leo tarehe 08 April 2022 mjini Zanzibar.View attachment 2180784
Na ukujua pia Kama Magufuli alikuwa na ikulu kubwa chato?!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SC Johnson ya nchini Marekani Bw. Fisk Johnson Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar leo tarehe 23 Agosti 2022. Hafla ya uzinduzi huo imefanyika leo tarehe 08 April 2022 mjini Zanzibar.View attachment 2180784
Mbona Magufuri alikuwa na Ikulu Chato tena kubwa kuliko hata hiyo ya Zanzibar.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SC Johnson ya nchini Marekani Bw. Fisk Johnson Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar leo tarehe 23 Agosti 2022. Hafla ya uzinduzi huo imefanyika leo tarehe 08 April 2022 mjini Zanzibar.View attachment 2180784
Wanaccm mna akili ndogoZanxibar ni nchi siyo mkoa bwashee!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SC Johnson ya nchini Marekani Bw. Fisk Johnson Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar leo tarehe 23 Agosti 2022. Hafla ya uzinduzi huo imefanyika leo tarehe 08 April 2022 mjini Zanzibar.View attachment 2180784