Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umekuja kwa shari g utaona ni sawa ila watu wengine hatujazoea fujo toka tumboni mwa mama zetu mimi ni mtu wa amani na mstaarabu mimi na matusi ni tofauti kabisa kabisa
Kabebii haujambo??Kama umekuja kwa shari g utaona ni sawa ila watu wengine hatujazoea fujo toka tumboni mwa mama zetu mimi ni mtu wa amani na mstaarabu mimi na matusi ni tofauti kabisa kabisa
sasa kama mtu humjui na hajakukera unamtukana wa nini?basi kwa dunia hii utakereka sana. Manake sehemu moja ambayo mtu unatakiwa usikereke ni hapa jf kwa sababu hatujuani, kwa hiyo litakalosemwa linatakiwa lidunde tu lisikudhuru.
sasa kama mtu humjui na hajakukera unamtukana wa nini?
kwa iyo kuna watu wanapata starehe za matusi hapa jf?
......mwenzio nimeshindwa kunywa pombe tangu umeondoka (nakunywa konyagi tu kwa huzuni).
Weirrrrrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaa.... lete pombe bila chupa tafadhali!
................nimemsamehe kwa heshima zenu..........!
Safi Bebii kwa kuamua kusamehe, pia umetufariji wengi kwa kusikiliza maoni yetu na kutuheshim pia, I like that na umeonyesha kuwajali wanaJF kama wao walivyokujali coz comments nyingi kwenye hii thread yako wengi wamekusihi usamehe na kumpotezea huyo aliyekukera na ndicho ulichokifanya. Tuendelee kusongesha JF na usichukie tena ukaondoka sawaaa????
Kumbe wewe mtoto Mzuriiii....safi sana ntakununulia na zawadi Bebii.........sawa Sweetie???!!!!
sasa kama mtu humjui na hajakukera unamtukana wa nini?
Kama umekuja kwa shari g utaona ni sawa ila watu wengine hatujazoea fujo toka tumboni mwa mama zetu mimi ni mtu wa amani na mstaarabu mimi na matusi ni tofauti kabisa kabisa
Hivi kuna mtu kweli anakasirika na kinachosemwa hapa JF?
Hongeraaaa!!nimemsamehe kwa heshima zenu tuachane nae
Tafsiri tafadhali mkubwaWork like you don't need the
money, love like you've never
been hurt, and dance like
nobody is watching.
Weirrrrrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaa.... lete pombe bila chupa tafadhali!
HEy sweetie, glad to 'see' you mamito. Take heart, appreciate complements, laugh at matusi na kejeli but most of all take constructive criticism na zifanye kazi. Wote tunaexperience haya mpenzi. Afterthat naomba nikupe pole kwa yote but also kukupongeza kwa ujasiri wako wa kusamehe na pia kuyasema wazi yanayokukera.
Tunakupenda Bebii, usituache tena......mwenzio nimeshindwa kunywa pombe tangu umeondoka (nakunywa konyagi tu kwa huzuni).
Weirrrrrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaa.... lete pombe bila chupa tafadhali!