kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Habari watu wa humu,
Ebwana ndugu zangu katika haya maisha mtu unaweza ukawa umejiwekea principles zako zitakazokuwa kama mwongozo wa maisha yako but ikatokea siku moja ukaenda kinyume na matarajio.
Binafsi nilishajiwekea katika maisha yangu sitokaa nimpige mke wangu hata kofi, lakini kwa hali iliyotokea jana nimejikuta namkung'uta ipasavyo.
Nimetoka kwenye mizunguko yangu nimechoka, nikamkuta kajilaza kwenye kochi huku anachat na simu yake tu.
Nimeingia na mizigo ndani hata kunipokea hakuna, kilichoniudhi zaidi nikamuuliza chakula kiko wapi akanionyeshea kwa kutumia mguu eti kile pale nijipakulie mwenyewe.
Jamani nikapandwa na hasira za ghafla, maana nilitafsiri ile kama dharau. Nikamshika nikamtandika makofi mawili kwanza, nikaona bado analeta kimdomo mdomo asee nilimpiga hatari.
Nikaona kakimbilia kwa jirani, baadae usiku jirani kamleta kutusuluhisha, yakaisha. Asubuhi kumekucha hakuna anayemsemesha mwenzie. Ila muda huu ameni-text kuniomba msamaha kwa yaliyotokea jana na amekiri makosa yake na hatarudia tena.
Sasa hapa natafakari, ni shetani gani alimuingia jana mpaka akaamua kuniletea dharau kiasi kile.
Ebwana ndugu zangu katika haya maisha mtu unaweza ukawa umejiwekea principles zako zitakazokuwa kama mwongozo wa maisha yako but ikatokea siku moja ukaenda kinyume na matarajio.
Binafsi nilishajiwekea katika maisha yangu sitokaa nimpige mke wangu hata kofi, lakini kwa hali iliyotokea jana nimejikuta namkung'uta ipasavyo.
Nimetoka kwenye mizunguko yangu nimechoka, nikamkuta kajilaza kwenye kochi huku anachat na simu yake tu.
Nimeingia na mizigo ndani hata kunipokea hakuna, kilichoniudhi zaidi nikamuuliza chakula kiko wapi akanionyeshea kwa kutumia mguu eti kile pale nijipakulie mwenyewe.
Jamani nikapandwa na hasira za ghafla, maana nilitafsiri ile kama dharau. Nikamshika nikamtandika makofi mawili kwanza, nikaona bado analeta kimdomo mdomo asee nilimpiga hatari.
Nikaona kakimbilia kwa jirani, baadae usiku jirani kamleta kutusuluhisha, yakaisha. Asubuhi kumekucha hakuna anayemsemesha mwenzie. Ila muda huu ameni-text kuniomba msamaha kwa yaliyotokea jana na amekiri makosa yake na hatarudia tena.
Sasa hapa natafakari, ni shetani gani alimuingia jana mpaka akaamua kuniletea dharau kiasi kile.