hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Umemkuta yuko busy ana chat n simu...halafu unajiuliza kilicho msibu mkeo mpaka kuwa na tabia mbaya
Bila shaka kuna mtu (me) itakuwa ana kusaidia Kula chakula cha usiku...mbaya zaidi yeye ana kila mchana kweupee....shtuka mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka kuna mtu (me) itakuwa ana kusaidia Kula chakula cha usiku...mbaya zaidi yeye ana kila mchana kweupee....shtuka mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app