luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Duh qeen umenikumbusha riwaya moja hivi niliwahi ipitia ikiitwa the secret,..ujumbe wake mkubwa ulikuwa ni
"Your wish is my command" ikiwa ni mawasiliano kati ya nafsi zetu na almighty...by mentioning hivyo virusi kila mara mawazoni mwako nafsi yako inafanya hali hiyo iwe as a wish from you(by keep saying nitakuwa nimepata vizusi), then something from above the nature inacommand iwe kama nafsi itakavyo
"Your wish is my command" ikiwa ni mawasiliano kati ya nafsi zetu na almighty...by mentioning hivyo virusi kila mara mawazoni mwako nafsi yako inafanya hali hiyo iwe as a wish from you(by keep saying nitakuwa nimepata vizusi), then something from above the nature inacommand iwe kama nafsi itakavyo