Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.