Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,015
- 54,297
Kangi Yesu Wa Jiwe Haa HaaNo nmecheka kuiona hiyo PGO kwenye picha ya KANGI LUGOLA
Kangi Yesu Wa Jiwe Haa HaaNo nmecheka kuiona hiyo PGO kwenye picha ya KANGI LUGOLA
JOURNALIST MISQUOTE HERJana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,
nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,
waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,
angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,
Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,
halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?
umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi
maoni yangu naonba tu upumzike
Mkuu, wewe ni polisi?Jana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,
nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,
waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,
angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,
Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,
halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?
umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi
maoni yangu naonba tu upumzike
Ni nani walihusika na mauwaji ya Lissu?Jana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,
nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,
waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,
angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,
Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,
halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?
umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi
maoni yangu naonba tu upumzike
Elimu ya mtu,hupimwa kwa matendo yake.Bila shaka yeyote Waziri ni msomi na alishaona yanayofanywa na mapolisi wetu.Mambo mengine ni ya kipuuzi mno.Naona hata yeye yamemchosha.Ni kweli kabisa, mahusiano ya polisi na wananchi sio mazuri.Jana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,
nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,
waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,
angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,
Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,
halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?
umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi
maoni yangu naonba tu upumzike
Polisi 80% ni zero brainAmetusaidia kujua kwanini mapolisi hawaielewi PGO
Waandishi gani tena,wakati kipindi kilirushwa na watu wakaona na kusikiliza.JOURNALIST MISQUOTE HER
-SHIDA UMAKINI KATIKA KUMUELEWA INFACT WAANDISHI WALISHINDWA KUMUELEWA.
Du,hawa ni majizi makubwa.Weka na zile nyingine.Waziri yupo sawa kabisa.Hao manjagu ni.vilaza kweli ndiyo maana wanatumika kiboya kuisaidia CCM kuiba kuraView attachment 1972624