Sikupanga kuwa na mtoto...

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,694
58,766
Hi guys!!
Hope wote mko pouwaaa!!

Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo...
Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya hawa watu utasikia kabisa wakisema kwamba hawakupanga kuwa na mtoto (didn‘t plan to have a baby kwa lugha ya wenzetu) ila ukweli ni kwamba hamna mtoto anaezaliwa bila kupangwa. Yani japokua mimba yaweza kupatikana bila kupanga mtoto yeye anapangwa na ndio maana wapo wanaopata mimba na bado hawawi na watoto.

Pale unapogundua kwamba una mimba na ukaamua kuiacha ili ikue...uzae na kupata mtoto basi unakua umepanga kuwa na mtoto.Huo ndio ukweli na hiyo ndio hali halisi.
Hamna mtoto anaezaliwa kwa bahati mbaya!!
 
I agree 100%.

Ktk wanyama aloumba Mungu ni binadamu na pomboo (dolphin) pekee hujamiana for reproduction na pleasure.
Wakati lengo la awali la wanaojamiana lawezakuwa just for pleasure mimba inaweza kutokea/kupatikana hivyo uamuzi inakuwa tutunze mtoto azaliwe au la!
Mkiamua kutunza mimba inamaanisha mmepanga kuzaa hivyo hatazaliwa kwa bahati mbaya.

Ukileta na mambo ya imani ndo kabisaaa wao wanasema hakuna mimba ya bahati mbaya achilia mbali kusema mtoto wa bahati mbaya.

Mtazamo wangu tu...........
 
Hi guys!!
Hope wote mko pouwaaa!!

Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo...
Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya hawa watu utasikia kabisa wakisema kwamba hawakupanga kuwa na mtoto (didn‘t plan to have a baby kwa lugha ya wenzetu) ila ukweli ni kwamba hamna mtoto anaezaliwa bila kupangwa. Yani japokua mimba yaweza kupatikana bila kupanga mtoto yeye anapangwa na ndio maana wapo wanaopata mimba na bado hawawi na watoto.

Pale unapogundua kwamba una mimba na ukaamua kuiacha ili ikue...uzae na kupata mtoto basi unakua umepanga kuwa na mtoto.Huo ndio ukweli na hiyo ndio hali halisi.
Hamna mtoto anaezaliwa kwa bahati mbaya!!
Mimi naamini kwamba mtoto anayepatikana bila kupanga, ni yule tu anayetokana na tendo la kubakwa. Lakini ile ya watu wawili kuafiki kubanjuana, matokeo yoyote hapo yanakuwa yamepangwa na wahusika.
 
Nimewahi kusikia habari ya kuwa "Mtoto yule ni kharamu". Ikoje hii kitu....!!!!?
 
Nimewahi kusikia habari ya kuwa Mtoto yule ni kharamu. Ikoje hii kitu....!!!!?

Hivi ndio baadhi ya vitu ambavyo sometimes vinanifanya nichukie dini. Mtoto hawezi kua haramu kwasababu sio aliyechagua azaliwe bila/kabla au nje ya ndoa!!
 
Mimi naamini kwamba mtoto anayepatikana bila kupanga, ni yule tu anayetokana na tendo la kubakwa. Lakini ile ya watu wawili kuafiki kubanjuana, matokeo yoyote hapo yanakuwa yamepangwa na wahusika.


Hata wanaobakwa na kupata mimba sio wote wanazaa hivyo bado mtoto anakua AMEPANGWA!!
 
Hi guys!!
Hope wote mko pouwaaa!!

Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo...
Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya hawa watu utasikia kabisa wakisema kwamba hawakupanga kuwa na mtoto (didn‘t plan to have a baby kwa lugha ya wenzetu) ila ukweli ni kwamba hamna mtoto anaezaliwa bila kupangwa. Yani japokua mimba yaweza kupatikana bila kupanga mtoto yeye anapangwa na ndio maana wapo wanaopata mimba na bado hawawi na watoto.

Pale unapogundua kwamba una mimba na ukaamua kuiacha ili ikue...uzae na kupata mtoto basi unakua umepanga kuwa na mtoto.Huo ndio ukweli na hiyo ndio hali halisi.
Hamna mtoto anaezaliwa kwa bahati mbaya!!


Lizzy dear it is not that simple… Hapo in red.... Mimba ndio hasa mtoto mwenyewe to be… huwezi sema kua mimba unakua hujapanga lakini mtoto atakae zaliwa kapangwa… Ni muhimu mno kujipanga kwanza kabla ya kuamua kuzaa for the betterment ya mtoto – ili kuhakikisha huyo mtoto waweza mtunza… Sio lazima uwe na ule uwezoo, but walau maisha ya kusema waendesha maisha…. Hivo kuna watotot ambao kweli kabisa anapatikana na hakupangwa…

Justification hio in blue peke yake haitoshi… ndio maana kuna watu weeengi sana wanatoa mimba… whether it is right or wrong wahusika ndiio wanatambua… Kitu tu ambacho nimegundua from experience ni kwamba waweza kua na mimba na hukupanga, but kuzaa Yule mtoto no matter the circumstances is the best thing ever! Watoto wana raha yake mno…
 
watoto ni baraka....full stop....

but binadamu tulivyo sio baraka zote tunazipokea kwa mikono miwili
Ufukara tu mkuu ndio unasababisha haya, lakini hakuna kitu cha furaha maishani kama kuwa na watoto angalau wawili.
That's is your own generation you create. am very proud of it.
 
Hivi ndio baadhi ya vitu ambavyo sometimes vinanifanya nichukie dini. Mtoto hawezi kua haramu kwasababu sio aliyechagua azaliwe bila/kabla au nje ya ndoa!!
What is dini? seek straight relationship with God without depending this bore ring preachers, all of them are lies & just looking for our money through Sadaka & dhaka. Period.
 
Binadamu unaweza sema sikupanga kuwa na mtoto.
Haijalishi utajitetea namna gani,lakini huyo ni wewe.

On the other hand,Mungu hayuko na hajawahi kuwa "sapraizid" na ujio wa mtoto duniani.
unaweza kushituka kuwa na mimba,lakini Mungu hajawahi kushituka "haaa,amepata mimba?"

Haijalishi umebakwa,au nini lakini huyo mtoto atakae tokea hapo
amepangwa na amekuja duniani kwa lengo moja tu,kumtumikia Mungu.
 
Binadamu unaweza sema sikupanga kuwa na mtoto.
Haijalishi utajitetea namna gani,lakini huyo ni wewe.

On the other hand,Mungu hayuko na hajawahi kuwa "sapraizid" na ujio wa mtoto duniani.
unaweza kushituka kuwa na mimba,lakini Mungu hajawahi kushituka "haaa,amepata mimba?"

Haijalishi umebakwa,au nini lakini huyo mtoto atakae tokea hapo
amepangwa na amekuja duniani kwa lengo moja tu,kumtumikia Mungu.


Clemmy unaweza jibu upya bila kutumia dini (only if you don't mind)... yaani kwa kuangalia maisha yenyewe (thou ndio maisha bila Mungu haiwezekani)
 
Sasa mbona umeishia kwenye kua uyaone bibie...?!Sema tuyaone manini!!
Ni rahisi sana kusema kinadharia.. Ila yakikufika utaelewa vyema nini tofauti kati ya nadharia na vitendo.. Ni hayo tu sina zaidi. Da Asha kafafanua vizuri kwenye post yake hapo juu..
 
Hi guys!!
Hope wote mko pouwaaa!!

Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo...
Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya hawa watu utasikia kabisa wakisema kwamba hawakupanga kuwa na mtoto (didn‘t plan to have a baby kwa lugha ya wenzetu) ila ukweli ni kwamba hamna mtoto anaezaliwa bila kupangwa. Yani japokua mimba yaweza kupatikana bila kupanga mtoto yeye anapangwa na ndio maana wapo wanaopata mimba na bado hawawi na watoto.

Pale unapogundua kwamba una mimba na ukaamua kuiacha ili ikue...uzae na kupata mtoto basi unakua umepanga kuwa na mtoto.Huo ndio ukweli na hiyo ndio hali halisi.
Hamna mtoto anaezaliwa kwa bahati mbaya!!

Heading ya sred imenishtua kweli! bado kidogo nikwambie ulejeshe mahari yangu.

Bek to ze topik: nitakomenti baadae, mida hii siko serious kabisa yaani na stopenda kuchakachua sred ya mchumbaangu.
 
Clemmy unaweza jibu upya bila kutumia dini (only if you don't mind)... yaani kwa kuangalia maisha yenyewe (thou ndio maisha bila Mungu haiwezekani)

Haha,ashaDii asante kwa kunipa option.
Ila out of faith sioni jibu,simaanishi wanaopata watoto "bila kupanga"
nawahukumu,...infact sikupanga kupata mtoto,...ila haimaanishi kwamba
aliye nipa huyo mtoto hakupanga kumleta duniani kupitia kwangu na
kwa mda uleule niliokua nafanya dhambi.

Sorry for disappointing you sister.
But it all begin with God.
 
Haha,ashaDii asante kwa kunipa option.
Ila out of faith sioni jibu,simaanishi wanaopata watoto "bila kupanga"
nawahukumu,...infact sikupanga kupata mtoto,...ila haimaanishi kwamba
aliye nipa huyo mtoto hakupanga kumleta duniani kupitia kwangu na
kwa mda uleule niliokua nafanya dhambi.

Sorry for disappointing you sister.
But it all begin with God.


You have not dissapointed me... Your answer is ideal.... Thank you.
 
What is dini? seek straight relationship with God without depending this bore ring preachers, all of them are lies just looking for our money through Sadaka & dhaka. Period.
That‘s my kinda thinking...
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom