Hivi kuna nchi duniani yenye sikukuu nyingi kama Tanzania?
nina shaka watasema sikukuu hizo zote ni za ccm !
lets wait and see !
Kalenda ya East and cental Africa inanionyeya kuwa
Tanzania ina public holiday 17 mwaka huu, DRC ina 17, Zambia ina 15, Uganda in 14, Kenya in 13, na Ethiopia 12.
my take: sikukuu nyingi zinaleta umasikini tu na wala hazina tija