Sikukuu ya Wakulima maarufu kama Nanenane inakumbukwa na serikali au wakulima wenyewe

kachwamayebe

Member
Jul 31, 2012
16
1
Naomba wana jf tujadili ni kweli sikukuu ya wakulima inakumbukwa na serikali au wakulima wenyewe.Kama inakumbukwa na serikali ni kwa kiwango kipi imeboresha mazingira ya wakulima, ambao kila siku tunaimba ati kilimo ni uti wa mgongo wa Mtanzania, na kama inakumbukwa na wakulima, wanaikumbuka je
 
Back
Top Bottom