SikuelewiNamuuliza Nyerere, ni mwafrika mkombozi wa wenzake wengi, kwanini aliacha jina la utumwa na mji wa Daressalaam? au hajui ilianzaje? ni ubwete bwete wa kupata watumwa kwenda zanzibar wakauzwe.
hakuna nchi inaitwa tanzania ilipata uhuru tarehe 09.12....Nitamwambia naitaka tanganyika yetuI say thank you to Julius k Nyerere kwa kweli nikiona nchi zingine hazina Amani nasema " God may Nyerere soul rest in peace .Pia thank you " Alexander Nyirenda .Wako mbinguni